Bei za simu msumbiji

Bei za simu msumbiji

Adamjuma94

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2017
Posts
3,292
Reaction score
4,751
kuna mdogo wangu kaniomba kama 2mil anataka kwenda msumbiji kununua simu azilete bongo.Eti inawezekana kweli kuwa msumbiji vitu ni bei rahisi kwasababu masimu anayonitajia mpaka nakoma au anataka kunitapeli?
 
Ukitaka kumtoa kibiashara
Mpeleke china
 
Back
Top Bottom