Amekuomba urafiki facebook.
Umeangalia picha zake
Anaendesha Range
Anaonekana ni jamaa mwenye uwezo
Umemkubalia urafiki
Amekutumia text inbox
Umemjibu
Amekuomba out
Mkapanga kuonana
Ukajikwatua mwenyewe
Ukajipulizia na marashi ya kunukia vyema
Ukaweka na make-up na weave mpya.
Akakuchukua kwa...
Shirikisho la Soka nchini Tanzania limemkuta na Hatia Msemaji wa Clab ya Simba Haji Manara kwa kosa la kutoa Lugha Chafu kwa Mh. Rais pamoja na Baadhi ya Viongozi wa Shirikisho hilo ambapo alitoa lugha hiyo week hii J3 na Leo amehukumiwa jela ya kutojihusisha na Mpira ndani na Nje ya Tz kwa...
Nimekuwa kimya sana week iliyopita nilikuwa nimesafiri kidogo kwenda Mbeya kama kawaida ya Beberu-mpya nikamuona mtoto huyu ambae amenisabashia hii kitu, sasa jana ndo nimeona hali hii, nifanyaje?
Jana mpenzi wangu alisema amenichoka na kuniambia why wakati wa kugegedana huwa nalia sana? Ila kwa kweli sikumjibu na wakati ulipofika wa kupeana utamu wetu nilianza tena ile tabia na akachukua upande wa mtandio na kuniziba mdomo ili nisipige kelele ila niliishiwa pumzi hadi nikaacha kabisa...
Nikunywa Viagra yapata nusu saa sasa kwani kuna mchepuko ambao kwa siku nyingi umekuwa ukiruka ruka, kaniambia yuko karibu ufika. Ila naona Jogoo kaanza kunisumbua sasa vipi nianze na Punyeto au nifanyaje maana cjielewi elewi.
......Fikiria mke wako ni Mange Kimambi halafu Baba mkwe wako ni Mch. Gwajima na Tundu Lissu ndo shemejiyo, hapo ndo utajua ndoa ndoano....!!! [emoji28][emoji28][emoji28]
Jaji nchini Canada wakati wa kesi ya ubakaji wa binti ambae umri wake ni miaka 20, alimuuliza aliyebakwa kwa nini akufunga miguu? Hapa imekaaje vijana wenzangu@Mabeberu mnafanyaje pale hamu ndo imekufika kwa magoti na mchuchu hautaki kukupa Utamu?
Nimekuwa nae sasa kwa takrini miezi 2 na nusu sasa ila chakushangaza kila ninapohitaji mzigo anakuwa Oky, sasa ananiambia tuanze maandalizi ndipo bi mdada anapoanza kunishughulisha kwa kunipigisha NYETO hadi nafika goli 2-3 na mwisho uume wangu unakosa nguvu na siwezi tena kula mzigo sasa...
Je unajua kwamba kuoa ndiyo njia rahisi zaidi ya kupata NGONO tena kwa bei nafuu.
Unaoa unalipa mahari milion 1.5, afu unakaa nae zaidi ya miaka 20. Sawa na zaidi ya miez 250.
Ina maana kwa mwezi mmoja unalipa Tshs. 6000/=
Kwa wiki moja unalipa Tshs.1500/=
Na kwa siku Tshs 215/=
Kwann ukanunue...
Najua wengi katika maisha ambayo tumekuzwa kwa hii stail ya kupatia pesa katika familia ni hii hapa. Je hapa ni wangapi wamewahi kuchochoa huu mtambo? Dondosha jinsi ya kuset mtambo huu
Napenda mnishauri kwa hili jambo ambalo mimi huwa linanitokeaga kila ninapokutana nae Girl yeyote katika mahusiano lazima nimpe mimba.
Ni wapenzi wangu 6 sasa ninaowakumbuka kila ambae nimesex nae nilimpa mimba, sasa je hii imekaaje katika kufyatua watoto namna hii na kwa umri wangu huu wa...
Kwani ni lazima kuingia Guest kama hii na ukakuta maandishi kama haya mbele ya Guest na ukaendelea kuweka bondi ya Pesa kusubiria mchepuko wako na kweli akafika na ukakuta kitanda chenyewe kiko katika design hii na ukaendelea kula Uroda na mwisho was siku unajikuta umekipata ulichokuwa...
Napendwa kuchukua fursa hii kuwapa taarifa na siyo mzuri kwa nilichokifanya ila ndo SHETANI ametufungulia njia na yameshatokea. Nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke wa mtu tangu mwaka jana October na sasa nimempachika ujauzito na bado anaishi na mumewe tangu nilivyoanza nae mahusiano sasa...
Baada ya maandalizi ya mapenzi mubashara mimi ndie nilieanza kwenda kuoga baada ya mimi kumaliza ndipo zamu ya kimada changu ndio nilipoanza kuwa mpekuzi wa ghafla katika mkoba nakutana na Maharage ya kichina ndani ya mkoba aisee sikula mzigo nilipata Hernia ya ghafla na mdada alistaahabu na...
Hapa naomba wanajamvini nasikia jirani yangu anagombana na mke wake hapa chumbani kwao eti mwanamke anasema apelekwe kwa mtoko na baba wa nyumba anasema eti usawa huu hawezi eti mipango haijakaa sawa. Kwa hiyo VALENTINE ni lazima MTOKO?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.