Manara Out 12months.... Muro In TFF

Beberu-mpya

JF-Expert Member
Feb 14, 2017
216
104
Shirikisho la Soka nchini Tanzania limemkuta na Hatia Msemaji wa Clab ya Simba Haji Manara kwa kosa la kutoa Lugha Chafu kwa Mh. Rais pamoja na Baadhi ya Viongozi wa Shirikisho hilo ambapo alitoa lugha hiyo week hii J3 na Leo amehukumiwa jela ya kutojihusisha na Mpira ndani na Nje ya Tz kwa kipindi kisichozidi miezi 12 na Faini ya Tshs 9,000,000.

FA Couter fainal
Imechezeshwa leo pia na iko hivi
Simba Vs Azam

Mbao Vs Yanga
 
Shirikisho la Soka nchini Tanzania limemkuta na Hatia Msemaji wa Clab ya Simba Haji Manara kwa kosa la kutoa Lugha Chafu kwa Mh. Rais pamoja na Baadhi ya Viongozi wa Shirikisho hilo ambapo alitoa lugha hiyo week hii J3 na Leo amehukumiwa jela ya kutojihusisha na Mpira ndani na Nje ya Tz kwa kipindi kisichozidi miezi 12 na Faini ya Tshs 9,000,000.

FA Couter fainal
Imechezeshwa leo pia na iko hivi
Simba Vs Azam

Mbao Vs Yanga
Duh
 
Back
Top Bottom