Habari wakuu,
Natafuta mbegu ya chakula cha kuku azola kwa mkoa wa mbeya, naweza kupata wapi? Maana nimetafuta sana nimekosa.
Au kama kuna mdau anauza basi anicheki please.
Na mndengereko
Ni kawaida siku hizi waandishi wengi wa habari huandika kuhusiana na matukio mbalimbali yanayotokea katika jamii,hasa ya kitaifa na yanayohusisha public figure,mfano rais au makamu wa rais wakienda kwenye tukio la ufunguzi au uzinduzi wa kitu fulani bas media zote zitafocus...
Heshima kwenu wakurungwa.
Katika kipindi cha miaka 8 iliyopita katika nchi yetu pendwa ya Tanzania kwa maana ya awamu ya 5 na ya 6 tumeshuhudia viongozi mbalimbali wakiteuliwa na mamalaka, hasa mamlaka ya Rais na pasi na kupita muda mrefu viongozi hao ama hubadilishwa vituo vya kazi, ama...
Miongoni mwa mashaur mepesi yaliyopelekwa TFF ni hili swala uvunjaj mkataba wa feisal salum, watu wengi wanachanganya kati ya breach of contract na termination of contract, breach of contract ni ukiukwaj wa mkataba kwa kutofuata masharti ya mkataba wakati termination of contract pamoja na tafsir...
UTAWALA (BORA)
Uwepo wa Uongozi na serikali mbalimbali una lengo la kuleta maendeleo kwa wananchi wanaowaongoza na njia mojawapo ambayo ni kiungo muhimu cha kufikisha maendeleo hayo kwa wanachi hao ni utawala, hivyo utawala ambao ni bora ukizingatiwa ni wazi maendeleo na matokeo chanya...
Wajumbe heshima kwenu, nina shida na biti ya waah ya nyimbo ya dangote x kofi,yeyote mwenye nayo please ashare na mimi au anipe link ila nahitaj orignal sihitaj remake,naona mtandaon nying zipo remake
Natanguliza shukran
Na K.S.K
Heshima yenu wana jamvi,
binafsi nimefurahishwa sana na ushindi wa kiduku kwa mara nyingine tena mbele ya dulla mbabe, na baada ya kiduku kubeba crown kumekuwa na hoja nying ya team kiduku wakimtaka/tukimtaka mwakinyo,binafsi sio muumin sana wa kutaka pambano hilo lifanyike mapema ešp...
MAONI YANGU JUU YA AUDIO CLIP YA MANARA ni kama ifuatavyo
Regardless kama tuhuma anazotuhumu Manara kwamba kufedheheshwa, kunyanyaswa and the like ni za kweli au la! Kitendo alichokifanya cha kuleta claim yake dhidi ya boss wake tena top top boss ,wa watumishi katika taasis /klabu ya simba...
Kwa bahati mbaya wazazi wangu wamefariki nikiwa mdogo japo sio sana, baba alifariki 2004 nikiwa form 2, mama alifariki 2006 nikiwa form four,{mwenyezimungu awalaze mahala pema peponi}
Jana nilikuwa na rafiki yangu, tunatembea barabaran akakutana na mama yake akamsaidia/akampa 2000, mama yake...
Habari wanajamvi kwanza poleni na msiba mzito wa taifa wa kumpoteza mpendwa wetu Rais Magufuli, kumekuwa na mijadala mirefu inayoendelea juu ya Rais aliyeapishwa Mama Samia kwamba je, ataweza kuendana na kasi aliyokuwa nayo Magufuli.
2. Je, ataweza kuyaendeleza aliyoyaanzisha Magufuli?
3...
Spika zinauzwa aina mbili tofauti moja ni aina ya tiger zipo,mbili ndefu na mbili fupi
zote zina mixer yake na ni mpya kbs hazijatumika spika mbili kubwa bei yake ni 400,000 ,zinatumia bluetooth,zinasupport usb flash na memory card
spika ndogo aina ya tiger pia na zenyewe ni mpya kbs na...
Heshima kwenu wakuu naomba kuwasilisha wazo langu kama ifuatavyo.
Binaadamu kwa kawaida tumekuwa na kusumba mbaya sana, ya kuwasifia watu pindi wanapofariki, na hata kuonyesha upendo usiomithilika kwao, ambao tulikuwa hatuwaonyeshi pindi walipokuwa hai ambapo kwa kipindi hicho unakuwa hauna...
Heshma yenu wakuu, kumekuwa na tetesi nyingi juu ya Tanzania kunyimwa misaada na EU, mpaka balozi wa Tanzania alipokuja kuweka wazi whats really happened, lakina Wapinzani wakiongozwa na Zitto wameendelea kushikilia msisitizo kuwa tutanyimwa misaada ,baada ya mkataba wa sasa wa msaada kukamilika...
Wakuu, heshima yenu, kadiri ambavyo tunazidi kusubiria matokeo ya uchaguzi wa aneyejiita baba wa Demokrasia Marekani, kwa manufaa yangu na wanajamvi wengine tafadhali tufahamishane kwa kirefu kidogo juu ya uchaguzi wa Marekani na jinsi ambavyo viongozg wengine wanapatika
points za kufafanua ni...
Wajumbe heshima yenu, tafadhali msaada kwenye tuta, maji ya betri ya solar yanapoisha, ni maji gani sahihi ya kuyaweka kama replacement ya maji ya mwanzo?
Je ni maji makali? Au maji baridi? Maana nilishauriwa kuwa mwanzo kuwa maji ya kwanza makali yanapoisha basi maji ya pili yanapaswa kuwa ya...
Wajumbe heshima kwenu, let me declare my interest sio mtu wa kupenda totoz za mtandaon juzi kati kuna manzi moja nilikutana nayo mtandaon FB (old is good) ni wa moto sana yaani picha alizokuwa anapost huwezi ukamuangalia kwa nusu dk, lazima ale muda wako kidogo, baada ya kuzama na mwonekane wake...
wanajamvi heshima kwenu!
nimekuwa nikijiuliza muda mrefu kwani ziwa lile kubwa lipatikanalo kule kanda ya ziwa kuitwa ziwa victoria,nikiri wazi sijafanya research ya asili ya jina lake,lakini naamini ni jina lenye asili ya ukoloni kwa maana jina limepewa na wakoloni enzi wanatutawala(kuenzi...
Wakuu heshima yenu,
Nowdays kumekuwa na tabia kubwa sana ya wasanii wa kileo wa Bongoflavour nyimbo zao nyingi wanazotoa ni sex song na sio love songs,nyimbo nyingi zinazungumzia jinsi ya kufanya mapenzi,(how to make love-love making) na hazizungumzii love in general.
Kwa uchache mfano wa...
Marekani yatuma wanajeshi 500 na silaha nzito za kivita nchini Saudi Arabia, Muda wowote Iran inashambuliwa
Marekani imetuma wanajeshi wapatao 500 na silaha nzito za kivita kwenda nchini Saudi Arabia kuweka kambi, Hii ni kufuatia vugu vugu lake na Iran.
Kwa mujibu wa kituo cha runinga cha...
WANA JAMVI HESHIMA KWENU,NAOMBENI MSAADA WA LINK YA PC PROGRAM AIDHA PINNACLE STUDIO AU ADOBE PREMIER PRO AMBAZO ZIPI ACTIVATED TAYARI AU ZIPO CRACKED,NIMEJARIBU KUTAFUTA KWENYE SITE MBALIMBLI NIMEKOSA AMBAZO ZIPO CRACKED TAYARI/ZENYE CRACK YAKE NYINGI HAZIKO ACTIVATED,MWENYE LINK AMBAYO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.