Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
Spika zinauzwa aina mbili tofauti moja ni aina ya tiger zipo,mbili ndefu na mbili fupi
zote zina mixer yake na ni mpya kbs hazijatumika spika mbili kubwa bei yake ni 400,000 ,zinatumia bluetooth,zinasupport usb flash na memory card
spika ndogo aina ya tiger pia na zenyewe ni mpya kbs na hazijatumika pia zinasupport usb flash,memory card na bluetooth,zipo mbili moja ina mixer ,bei yake ni sh 250,000
zote zinapatikana mbeya,kwa waliopo mbeya tunaweza kuwasiliana na kuzitest kabla ya biashara kwa walioko nje ya mbeya wanaweza kutuma mwakilishi kabla akazichunguza kisha biashara kufanyika
Zote kwa pamoja bei ya ofa naziuza kwa 500,000
ambae yupo interested anicheck INBOX,
KARIBUNI
zote zina mixer yake na ni mpya kbs hazijatumika spika mbili kubwa bei yake ni 400,000 ,zinatumia bluetooth,zinasupport usb flash na memory card
spika ndogo aina ya tiger pia na zenyewe ni mpya kbs na hazijatumika pia zinasupport usb flash,memory card na bluetooth,zipo mbili moja ina mixer ,bei yake ni sh 250,000
zote zinapatikana mbeya,kwa waliopo mbeya tunaweza kuwasiliana na kuzitest kabla ya biashara kwa walioko nje ya mbeya wanaweza kutuma mwakilishi kabla akazichunguza kisha biashara kufanyika
Zote kwa pamoja bei ya ofa naziuza kwa 500,000
ambae yupo interested anicheck INBOX,
KARIBUNI