Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
Wajumbe heshima yenu, tafadhali msaada kwenye tuta, maji ya betri ya solar yanapoisha, ni maji gani sahihi ya kuyaweka kama replacement ya maji ya mwanzo?
Je ni maji makali? Au maji baridi? Maana nilishauriwa kuwa mwanzo kuwa maji ya kwanza makali yanapoisha basi maji ya pili yanapaswa kuwa ya baridi unayamwaga yote ya kwanza kisha unajaza ya baridi, nimefanya hivyo kwenye battery langu la kwanza la n 100 la binslum ila ndo likaisha nguvu kabisa kiasi cha usiku linadumu na nguvu kwa muda wa dk 30-50 tu, hvyo sasa nimenunua battery lingne na sitaki kukosea hivyo naombeni muongozo? Pia ni upi utaratibu sahihi wa kubadilisha au kuongeza maji mapya?
Je ni maji makali? Au maji baridi? Maana nilishauriwa kuwa mwanzo kuwa maji ya kwanza makali yanapoisha basi maji ya pili yanapaswa kuwa ya baridi unayamwaga yote ya kwanza kisha unajaza ya baridi, nimefanya hivyo kwenye battery langu la kwanza la n 100 la binslum ila ndo likaisha nguvu kabisa kiasi cha usiku linadumu na nguvu kwa muda wa dk 30-50 tu, hvyo sasa nimenunua battery lingne na sitaki kukosea hivyo naombeni muongozo? Pia ni upi utaratibu sahihi wa kubadilisha au kuongeza maji mapya?