Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
Wakuu heshima yenu,
Nowdays kumekuwa na tabia kubwa sana ya wasanii wa kileo wa Bongoflavour nyimbo zao nyingi wanazotoa ni sex song na sio love songs,nyimbo nyingi zinazungumzia jinsi ya kufanya mapenzi,(how to make love-love making) na hazizungumzii love in general.
Kwa uchache mfano wa nyimbo za sex songs ni Iokote, Gusanisha, Nicome ya Weusi, Jibebe, Tetema, nyimbo za Lulu Diva, za Mbosso nk.
Kwa haraka haraka nizitaje hizo wakati nyimbo nyingi hasa za zamani kama vile Yalaiti, Subal khery, za Ray C za zamani, Q Chief, TID na Alikiba za zaman na za wasanii kama Ben Pol, Aslay na Jux isipokuwa nyimbo yake ya Sumaku aliyoifanya na Diamond, zilizobaki nyingi kama sio zote ni love songs.
Kwa mtazamo wangu sex songs nyingi zinawagawa mashabiki wa msanii husika, kwani zinapoteza mashabiki ambao umri umeenda kwani zinakosa maadili somehow, na hvyo msanii husika kubaki na mashabiki vijana tu.
Nionavyo mimi ni vyema wasanii wakabadilika na kutunga nyimbo ambazo ni love songs ili msanii kuwa na kundi kubwa la wasanii vijana kwa wazee, akina mama na watoto.
Nawasilisha karibuni kwa mjadala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nowdays kumekuwa na tabia kubwa sana ya wasanii wa kileo wa Bongoflavour nyimbo zao nyingi wanazotoa ni sex song na sio love songs,nyimbo nyingi zinazungumzia jinsi ya kufanya mapenzi,(how to make love-love making) na hazizungumzii love in general.
Kwa uchache mfano wa nyimbo za sex songs ni Iokote, Gusanisha, Nicome ya Weusi, Jibebe, Tetema, nyimbo za Lulu Diva, za Mbosso nk.
Kwa haraka haraka nizitaje hizo wakati nyimbo nyingi hasa za zamani kama vile Yalaiti, Subal khery, za Ray C za zamani, Q Chief, TID na Alikiba za zaman na za wasanii kama Ben Pol, Aslay na Jux isipokuwa nyimbo yake ya Sumaku aliyoifanya na Diamond, zilizobaki nyingi kama sio zote ni love songs.
Kwa mtazamo wangu sex songs nyingi zinawagawa mashabiki wa msanii husika, kwani zinapoteza mashabiki ambao umri umeenda kwani zinakosa maadili somehow, na hvyo msanii husika kubaki na mashabiki vijana tu.
Nionavyo mimi ni vyema wasanii wakabadilika na kutunga nyimbo ambazo ni love songs ili msanii kuwa na kundi kubwa la wasanii vijana kwa wazee, akina mama na watoto.
Nawasilisha karibuni kwa mjadala.
Sent using Jamii Forums mobile app