Wakati mashindano ya AFCON yalipokuwa yanafanyika huko Ivory Coast, nilimsikia mmoja wa wanahabari aliyekuwa huko akituhabarisha kilichokuwa kinaendelea akisema boda boda wa huko wana nidhamu sana.
Wakifika kwenye taa za barabarani wanasimama mpaka pale taa ya kijani itakapowaruhusu kuendelea...
Hivi muda ambao Makonda alimpa Waziri Mkuu kumaliza tatizo la migogoro ya ardhi umewadia? Kama bado je kuna dalili za migogoto hiuo kwisha. Je muda ukifika na migogoro hiyo bado iko pale pale je Makonda anawezak kuchukua hatua dhidi ya Waziri Mkuu?
Wakuu nauliza muda ambao Katibu Mwenezi wa CCM, Paul Makonda ambazo alimpa Waziri Mkuu, Mh. Kassim Majaliwa kumaliza tatizo la migogoro ya ardhi unatazamiwa kuisha lini? Je tangu agizo hilo litolewe migogoro imepungua? Na je ikidhihirika kwamba tatizo la migogoro ya ardhi bado liko pale pale...
Kigogo amekwishaongea kuwa Karimjee hapatatosha kutokana na matukio ya vigogo 2, waandae uwanja wa Mkapa. Ukitaka taarifa mtafute Kigogo. Usisubiri serikali hii ya CCM.
Kama ningekuwa na nafasi ya kumshauri Mhe. Majaliwa. ningemwambia anyamaze kuhusu suala la kutoonekana Mhe. Makamu wa Rais. Watanzania bado hatujasahau jinsi alivyotudanganya suala la JPM - kwamba ni mzima na anachapa kazi! Tunatamani Mh Mpango awe ni mzima na anachapa kazi lakini Majaliwa...
Nimerudi juzi Jumapili kutoka Kigali, Rwanda ambako nilikwenda na wenzangu 3 kwa shughuli za biashara. Tulikwenda kwa usafiri wa gari binafsi. Tulikaa huko siku 3. Nilishuhudia kitu kimoja kuhusu traffic polisi wa huko, jambo ambalo lilinifanya nitafakari na kulinganisha na traffic polisi wa...
Mimi simwpmbei> sifirashishwi na jisi anavyoendesha shughuli za bunge hasa pale anapokuwa anaacha kiti chake cha uspika na kugeuka kuwa msemaji wa serikali. Ashindwe tu
Nyie Sukuma gang mbona mnaweweseka sana na Mbowe na mnamwach John Momose Cheyo ambaye amekuwa mwenyekiti wa UDP kwa muda mrefu zaidi ya ule ambao Mbowe amekuwa mwenyekti wa CHADEMA?
Wiki iliyopita nilitembelea jiji la Dar es Salaam baada ya kipindi cha takribani miaka 5.
Niliingia jijini usiku na nilishangaa maeneo ya katikati kabisa mwa jiji - Askari Monument, Mtaa wa Azikiwe na Samora hakuna taa za kuangaza mitaa. Mitaa hii maarufu ni giza.
Barabara zake zimechoka ila...
Ni muhimu viongozi wetu wajifunze kuwa na busara wanaposhughulika na watu wanaotofautiana nao. NItaeleza.
Mnamo mwaka 2018 huko Kenya, mwaka mmoja baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwaka 2017 ambapo Uhuru Kenyatta alitangazwa kushinda kiti cha urais akimshinda mpinzani wake mkuu Raila Odinga...
Dogo amekwenda na wafanya biashara wenzake. Hakwenda na mtu yeyote kutoka serikalini. Ni kawaida kwa wafanya biashara na wawekezaji kukutana na marais wa nchi wanazotaka kuwekeza. Ndo sababu hara Rostam Aziz alikutana na Rais Ruto kuhusu kuwekeza mitambo ys gas huko Mombasa.
Mookisbad98 umeeleza vizuri. Niwape mfano mwingine. Mwaka jana mwishoni Rostam Aziz alikwenda kuonana na Rais Ruto kuhusu kuwekeza mitambo ya gas huko Mombasa. Aliweza kufanya hivyo japo yeye si mtoto wa Rais. Acha dogo afanye biashara.
Taarifa ya Rais Museveni imesema "delegation from Tanzania" yaani ujumbe kutoka Tanzania. Haikusema "delegation from the Tanzania government" ujumbe wa serikali ya Tanzania. Kama huyo kijana alikwenda Uganda akiongoza ujumbe wa wafanya biashara wenzake kuna ubaya gani?
Ndo sababu mtazamo wangu kwa vyombo vya habari vya Tanzania ni chanya. Tunahitaji kupata habari zaidi kuliko kutoa taarifa kwamba ndege yetu imerudi. Sote tunafahamu kwamba ndege ilikamatwa huko Uholanzi baada ya kampuni ya EcoDevelopment ya Sweden kupeleka shauri mahakamani ikidai fidia ya...
International airport zote duniani huwa na hotel kadhaa katika viunga vya uwanja wa ndege. Kwamba KIA au JNIA haina hotel ni kituko. Kwa kwaida hoteli hizo hulenga wasafiri ambao kwa sababu moja au nyingine hulazimika kulaa hapo au kupumzika hapo kwa muda mrefu wakisubiri connection. Huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.