Dar es Salaam ni "Jiji la Mizimu" (Ghost City)

mafutamingi

JF-Expert Member
Feb 14, 2011
2,772
2,171
Wiki iliyopita nilitembelea jiji la Dar es Salaam baada ya kipindi cha takribani miaka 5.

Niliingia jijini usiku na nilishangaa maeneo ya katikati kabisa mwa jiji - Askari Monument, Mtaa wa Azikiwe na Samora hakuna taa za kuangaza mitaa. Mitaa hii maarufu ni giza.

Barabara zake zimechoka ila mbaya. Ile 'glamour' ya sehemu hizo haipo tena. Nikajiuliza hivi kweli Jiji la Dar es Salaam lina Mkurugenzi na Meya?

Shame on you City fathers!
 
Kwa upande wa barabara katikati mwa jiji kuchoka uko sahihi, yaani barabara za kwetu buza ni bora zaidi, kuliko za katikati ya joji.
 
Suala la taa za barabarani kwa ajili ya mwanga limeshawashinda kabisa na wao wameshakubali. Ukiona matukio ya kimataifa yanafanyika Dar tegemea kuona bendera tu Nyerere Road wala sio taa za kuangaza usiku. Lile li mwenge tunalokimbiza sijui limeturogaje!
 
Wiki iliyopita nilitembelea jiji la Dar es Salaam baada ya kipindi cha takribani miaka 5.

Niliingia jijini usiku na nilishangaa maeneo ya katikati kabisa mwa jiji - Askari Monument, Mtaa wa Azikiwe na Samora hakuna taa za kuangaza mitaa. Mitaa hii maarufu ni giza.

Barabara zake zimechoka ila mbaya. Ile 'glamour' ya sehemu hizo haipo tena. Nikajiuliza hivi kweli Jiji la Dar es Salaam lina Mkurugenzi na Meya?

Shame on you City ffathersDar
Dar ni kijiji cha wavuvi
 
Back
Top Bottom