Search results

  1. sammosses

    Ni lini Tume za Uchunguzi zitakuja na suluhu ya matatizo yanayoikabili Tanzania yetu?

    Mtihani huu mwenye kusahihisha ni wananchi,hatari wenye nchi wanaogopa mamlaka yao waliyoyatumia kuiweka serikali,bila katiba Bora ya wananchi hata Jeshi la malaika likishuka litakuwa CCM
  2. sammosses

    Ni lini Tume za Uchunguzi zitakuja na suluhu ya matatizo yanayoikabili Tanzania yetu?

    Tena favor si kwa Taifa ni favor ya mteuzi
  3. sammosses

    Ni lini Tume za Uchunguzi zitakuja na suluhu ya matatizo yanayoikabili Tanzania yetu?

    Lyatonga Mrema alitenguliwa kwa kutoa Siri za Baraza la Mawaziri akiwa waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri mkuu. Maanake alitoa hadharani Siri ya wizi unaofanywa na kubarikiwa na Baraza la Mawaziri. Mfumo huo bado unaendelea japo hakuna waziri mwenye gut kama aliyekuwa nayo Mrema,wote...
  4. sammosses

    Ni lini Tume za Uchunguzi zitakuja na suluhu ya matatizo yanayoikabili Tanzania yetu?

    Rais wa awamu tatu Benjamin William Mkapa alipoingia madarakani aliunda tume iliyoongozwa na Jaji Warioba, kuchunguza rushwa na udhibiti wake. Kila mmoja aliunga mkono dhamira ya dhati ya Ben. Kilichotokea baada ya taarifa za matokeo ya tume hiyo, alihojiwa kwanini amekwenda nje ya hadidu za...
  5. sammosses

    Kama mnamuona Rais Samia ameshindwa kusimamia Katiba na kulinda rasilimali zenu muwaombe Wabunge wamuondoe kwa Ibara ya 46A ya Katiba

    Shida ya wabunge wanawajibika kwa Mwenyekiti wao ambaye ndiye Rais,hawana nguvu ya ushawishi ndani ya chama ambayo Rais anayo. Wakimwaga ugali bungeni yeye anamwaga ugali ndani ya chama atakayeumia wabunge wasaka tonge that's all
  6. sammosses

    Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi. Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!

    Maanake ukubwa wa taasisi ya urais hauna tija hata kama Rais si mwanasheria,pili tumekuwa na Marais copy and paste ambao wanajua kusaini bila perusing kwa hiyo kama kuchomekewa ni sababu ya udhaifu wao tu. Anapofanga vikao na wadau mbalimbali inaonyesha haweki kumbukumbu ya kile alichokisemea...
  7. sammosses

    Kuna haja ya kufanya chaguzi za kisiasa nchini ikiwa haki za raia zinaporwa

    Wahenga walisema muda utaongea,mpk lini,lini tutaamka
  8. sammosses

    Kuna haja ya kufanya chaguzi za kisiasa nchini ikiwa haki za raia zinaporwa

    Taifa linapaswa kujiuliza kama chaguzi zetu ni sahihi kuwepo,Taifa letu ni sovereignty state au ni monarchy state. Hawezekani kila tunapoelekea uchaguzi mbalimbali za kisiasa Taifa linapotezewa uwezo wa kuhifadhi haki za binadamu hususani haki za kuishi na Uhuru wa mawazo. Ikiwa suala la...
  9. sammosses

    Vita vya kuviziana, mwenye uwezo wa kumvika paka kengele bado hajazaliwa

    Bado hatujafikia level ya mtindio wa ubongo ukitumwa maji unaleta sigara. Hoja yako Mr. Dudumizi inatofautiana na mada hapo juu
  10. sammosses

    Vita vya kuviziana, mwenye uwezo wa kumvika paka kengele bado hajazaliwa

    Maamuzi mengi ya serikali yanapitia kwenye Baraza la Mawaziri chini ya Rais ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM Taifa. Uwajibikaji wa serikali unamlenga waziri mkuu kwa kuwa ndiye msimamizi mkuu wa kazi zote za serikali,na waziri Mkuu huyu atapokea maelekezo toka kwa Rais na si vinginevyo. Drama...
  11. sammosses

    Rais Samia Suluhu Hassan - Mama wa Taifa na Mfariji Mkuu wa Taifa

    Kaka mnasifia mpk mnaboa,nani anajua majukumu ya mama kwa mwanae. Mama yupo tayari kulala njaa watoto wake watibiwe. Angalia issue ya bima ya afya - afyatoto mama wa Taifa anapingana na mpango wa millennium kuzuia vifo vya watoto chini ya umri wa miaka mitano. Zuio hili si la Ummy ni zuio la...
  12. sammosses

    Msiba wa Mama yake Askofu Mwamakula wapandisha Joto la Kisiasa Kyela

    Style hiyo ya kunadi ilani magamba wanayo sana. Mh. Mollel bingwa wa kuvizia misiba
  13. sammosses

    Iringa kwa teuzi hizi mmetisha. Hakika Mzee Luhanjo amewaacha pazuri!

    Hii nchi hatari Sana. Connection everywhere
  14. sammosses

    Msimamo wa CCM kwa rasilimali za Taifa ni upi?

    Kwa mujibu wa katiba ya JMT suala la rasilimali za Taifa limejengewa wigo mpana wa ulinzi wake kupitia ibara ya 27.-(1) Kila mtu ana wajibu wa kulinda maliasili ya Jamhuri ya Muungano, mali ya mamlaka ya nchi, mali yote inayomilikiwa kwa pamoja na wananchi, na pia kuheshimu mali ya mtu...
  15. sammosses

    Eneo serikali ya ccm imeupiga mwingine ni kwenye teuzi na tenguzi

    Uwezo umekwisha set up ya kujilimbikizia mali
  16. sammosses

    Eneo serikali ya ccm imeupiga mwingine ni kwenye teuzi na tenguzi

    Katika eneo ambalo CCM na serikali yake ina upiga mwingi kwa msemo wa machawa na wafuasi wake ni kwenye uteuzi na utenguzi. Hii ni moja ya sera yao ambayo hakunadiwa katika ilani yao lakini wasimamizi wake wa ilani wanaishadadia sana. Huu ni mfumo ambao unazoeleka lakini hatuoni impact ya...
  17. sammosses

    Baada ya suala la Ngorongoro, Tundu Lissu ameenda Belgium & USA

    Pamoja ya kuwa wote ni udiktekta ila unatofautiana lazima angefikia alipo mwenzake ni suala la muda
  18. sammosses

    Baada ya suala la Ngorongoro, Tundu Lissu ameenda Belgium & USA

    Isije ukadharaulika wewe unayeamini ukosoaji ni dhambi.
Back
Top Bottom