Siielewi hii misalaba yenye duara juu, ina signify kitu gani?
Naona ma celebrity kibao wakiivaa kuanzia Diamond Platnumz hadi Masanja Mkandamizaji
Mwenye uelewa naomba afafanue, maana sijawahi kuiona popote kama alama za Christianity au Kanisani.
As intelligent people know, Islamic violence is directly proportionate to their percentage of the population.
As long as the Muslim population remains around 1% of any given country they will be regarded as a peace-loving minority and not as a threat to anyone. In fact, they may be featured...
Alivyouawa RPC wa Mwanza Kamanda Barlow...week 1 haikupita waliohusika wote walikamatwa na sasa hivi kesi inaendelea....
Zanzibar makanisa yalichomwa na hakuna aliyekamatwa,DSM makanisa yalichomwa wote tuna macho na masikio.
Mchungaji wa Geita kachachinjwa mapanga hakuna aliyekamatwa...
HUYU MHESHIMIWA NDIYE ANAYEONEKANA SANA NYUMA YA KIKWETE MARA ZOTE KULIKO HATA BODY GUARD WAKE, MIMI KAMA MTANZANIA NADHANI HAKUTAKUWA NA UBAYA NIKIMFAHAMU YEYE NI NANI HASWA, JINA LAKE NA ROLE YAKE KWA RAISI WETU.
NAWATAKIA HERI YA X-MASS.
Cc: Jasusi
Hebu tujikumbushe walivyofanywa Waumini wa dini ya kikristo wanaosali Efatha, halafu tulinganishe suala hili lingeweza kufanyika kwa namna hii iwapo waumini hawa wangekuwa ni Waislam????
Ifike wakati na sisi Wakristo tuamke sasa, maana huu ni uonevu wa wazi wazi kabisa kwenye Nchi yetu sote, ni...
WATU 10 WAMENUSURIKA NA WENGINE WAWILI HAWAJULIKANI WALIPO, ILIKUWA INATOKA ZANZIBAR KWENDA PANGANI.
Source: ITV
NOTE:
Nilianzisha thread kwamba nimeota meli imezama Zanzibar baada ya sikukuu, na nikatoa maelezo ya kutosha lakini mods wakaitupa kapuni thread yangu.
Kwa kuwa ndoto ile imekuja...
NOKIA MAPS AMBAZO PIA ZINATUMIWA NA YAHOO ZINAONESHA MPAKA UNAPITA KATIKATI YA ZIWA NYASA (MALAWI)
CHECK:
Yahoo! Maps, Driving Directions, and Traffic
MICROSOFT MAPS NAZO ZINAONESHA MPAKA UNAPITA KATIKATI YA ZIWA NYASA (MALAWI)
CHECK:
Bing Maps - Driving Directions, Traffic and Road...
Kwa masikitiko Makubwa Ulimwengu umeshuhudia mauaji ya waumini wa dini ya Kiislam yaliyofanywa na Buddhists nchini BURMA, lakini jambo la kusikitisha ni kwamba habari hii haijapewa uzito wowote katika vyombo vya habari vya kimataifa na wala hata UN haijahangaika kuhakikisha mauaji hayo yanakoma...
ANGALIA VIDOLE VYA HAO WATU WANAOSHANGILIA KWENYE HII PICHA.
UPDATE:
Wadau wengi wanamtetea Masanja kuwa hawezi kuwa Masonic Worshiper, wengi wanadai hana mshiko kama freemansons wengine...
Wengine hawajui ninachozungumzia ni nini, ninazungumzia alama za vidole viwili vinavyoonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.