Ipe neno hii picha

DON KILLUMINATI

Senior Member
Jan 2, 2011
193
83
Mmmmh, huyu jamaa naona kama simuelewi elewi vile... Au ni macho yangu?

Nape-Nnauye.jpg
 
Hiki kichwa changu kimejaa pumba tupu na nitazitumia daima kudefend chama cha ma.....
 
Im so handsome wananchi wakiniona na sura yangu tu wanajiachia wenyewe kunifagilia na mimi naanza kushusha pumba zangu, nitauongezea urembo zaidi kabla ya 2015.
 
Strategy ya kujivua gamba imeshindwa, tumeleta ya udini nayo inaonekana kushindwa, sijui nianzishe ipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom