DON KILLUMINATI
Senior Member
- Jan 2, 2011
- 193
- 83
Hana ndugu bali ana mashabiki tu!!kumbe jamaa ana ndugu mpaka huku?
Sijakusoma kabisa mkuu!uhusiano kati ya hoja,mchango wako na picha ya gari aina ya hammer!!Hizo ni shida zao.
Ili iweje?Wakaliweke ubalozi wa marekani
...Huwezi kuchukiwa na wote bana.. niliwahi kukutana na mganda mmoja alisikitishwa na kifo cha Iddi Amini dada kwa sababu alisababisha Uganda ifahamike ulimwenguni kote..Du kweli alipendwa
Ili iweje?