Aisee hii team inabidi iuze wachezaji wengi sana hawana kiwango....... ole sio manager ila ni caretaker tutajuta kumwacha Pochettino .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tanzania ipo kwenye vita ya kiuchumi na Kenya na Rwanda ingawa Tanzania sidhani kama ilianza hii vita.
Tanzania mpaka sasa imeshindwa hii vita haijajua vitu gani vinaweza yanyua uchumi wake yaani sie bado ni “reactive country” na sio “pro active”.
Mbinu za kushinda vita bado sijaona ila kama...
Najua kuna machine ya kufanya hivyo ila gharama ya kuwekeza kwenye machine ya aina hiyo ni gharama......pia hata sukari yetu inajazwa na mashine. Kwenye hili la sukari wametuzidi kwa kila kitu tukae na kukubali tu.
Marekani na nchi zilizoendelea wanajua changamoto ya kulisha dunia, hivyo kulima...
Kuwa mzalendo sio kusema uongo......Sukari yetu tu haitutoshi halafu tukauze uarabuni,halafu umasikini wetu ustufanye tuwe tunapewa bidhaa mbovu sokoni.Eti leo hii tunambavu za kubishana na Marekani kwenye viwanda.
Kwa hiyo unataka kusema kutengeneza mifuko 50 ya kilo moja moja ni sawa na gharama ya kutengeneza mfuko mmoja wa kilo 50. Pia sukari yetu ubora wake ni wa chini sana kulinganisha na hiyo.......
Sasa Mkuu hiyo sukari ya marekani kwanza package yake ipo poa ila sie sukari yetu ni ya kupimiwa pia hiyo ni zaidi ya kilo moja na nusu..... ambapo kwa bei yako uliyoweka ingekuwa TZS 3750+, pia quality ya sukari ipo juu kuzidi sukari yetu.
Ni vizuri tuwe tunajiridhisha kwenye mambo huyo Mama amefukuzwa na kampuni yake bila shinikizo la serikali ila ni kwamba kampuni uliona ameweka ile Picha ya kutukana kwenye Facebook page yake na taratibu za kampuni ni kutoweka Picha za namna hiyo.
Hivyo wameamua kumfukuza kazi ingawa inawezakana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.