Ebe
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 810
- 965
Yaani hata Mimi nilikuwa naweweseka hapa. Yaani tofauti ya sh.3500 wakati njia za panya za kupita zipo kibao watu wangepiga hela mpaka basi kwa black market, tofauti kubwa sana hiyo kwa nchi zinazopakana hivyo haiwezi kutokea na biashara ikaenda kama kawaida. Labda nchi yenyewe iwe kama North Korea ambayo mipaka inalindwa kwa nyaya za umeme. Mleta mada fanya uchunguzi tenaHiyo labda ni pkt ya 2kg.
Sukari kenya ni 1.0 kg = KES 130.00, inategemea unanunua wapi.
Ingekuwa kilo ya sukari Kenya ni TZS 6000, basi sukari yote ya Tanzania ingeishia kenya kwa magendo?