Rafikikabisa
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 252
- 47
Yanayotengenezwa na temesa ni yale yaliyoko barabarani. Hii ni special
View attachment 621940
Akizungumza leo Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa asema kuwa, Magari yote ya Serikali yanapaswa kutengenezwa na WAKALA wa ufundi wa umeme (Tanzania Mechanical and Electronics Service Agency (TAMESA), kwani ndio wenye kazi ya kutengeneza.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda Jumanne hii amekabidhi mabasi 10 chakavu ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa kampuni ya DAR COACH LTD kwaajili kufufuliwa upya na kuwa ya kisasa.
Mabasi hayo 10 chakavu yanatoka kwenye Vyombo vya Ulinzi na Usalama ikiwemo Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ Magari 3, Jeshi la Polisi Magari 4 pamoja na Jeshi la Magereza Magari 3 ambapo yote kwa pamoja matengenezo yake yameokoa kiasi cha Shilingi Billion moja fedha ya Serikali.
RC Makonda amesema kuwa gari hizo zitatengenezwa na kukamilika ndani ya siku 90 ambapo ameipongeza Kampuni ya DAR COACH LTD kwa kujitolea kukarabati Magari hayo bila kutumia pesa ya Serikali.
Nani??Atatumbuliwa mda c mrefu
Kwa kweli ni hatari sana kuingia mwenye 18 za sizo!Atatumbuliwa mda c mrefu
Hakuna cha bure chini ya jua!Wale wahindi wanatengeneza kwa kujitolea mkuu!!
Kuna watu wanasukumwa kwa chukiMnaolalamikia Wahindi wana ajenda sijui nini tabu ni hamjui kufanya biashara na kuangalia mbele. Hamuoni kuwa kazi hiyo ni bomba kwao kwa kupata kazi zingine nyingi mbeleni!?
Wewe danganya hao lumumba wenzio unaona dar coach ni watu wa kukosa watejaMnaolalamikia Wahindi wana ajenda sijui nini tabu ni hamjui kufanya biashara na kuangalia mbele. Hamuoni kuwa kazi hiyo ni bomba kwao kwa kupata kazi zingine nyingi mbeleni!?
gari za jwtz? magereza,polisi,hawajawahi kupandikiziwa devices za udukuzi eti!Wale wahindi wanatengeneza kwa kujitolea mkuu!!
Mdanganye rafiki yako,, lile toto lenye mtako likipeleka malalamiko kwa baba lazima mtu atumbuliwe!!Hata kama ni bure lazima gari ulipeleke TAMESA walikague na wawavet kama wanaweza kutengeneza vyema magari ya serikali hata kama ni bure. The minister is right
Anavumilika tena sana tu! Huyo Makame alikuwa wapi kuyatengeneza?hakusubiri mnada wa serikali ayanunue laki tano!Bashite havumiliki,
Una akili sana.unafkiria mbaliMnaolalamikia Wahindi wana ajenda sijui nini tabu ni hamjui kufanya biashara na kuangalia mbele. Hamuoni kuwa kazi hiyo ni bomba kwao kwa kupata kazi zingine nyingi mbeleni!?
Sio kwa serikali hii,,,saivi ukiona mtu kafanya msaada huu ujue kna ma3Wahindi hawajawahi fanya crazy business ndg yangu. Lazima kuna kitu wametega