mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,843
Sasa. Kama nyalandu ni fisadi na alikuwa CCM.
Ina kuwaje CCM. Ina Kaa na mafisadi?
Kiukweli kumuita mtu fisadi wa Kati ameondoka kwenye chama chenu. Sio sawa. Msingoje mpaka aondoke ndo mseme.
Uenda wameamua kujisafisha. Wangeendelea KUA CCM. Wangeendelea kuwa mafisadi.
Kinyonga ubadilika kutoka na mazingira.
Ni Nani msafi ndani ya CCM?
Kama boss anapiga. Kwanini na Mimi nisipige?
Ina kuwaje CCM. Ina Kaa na mafisadi?
Kiukweli kumuita mtu fisadi wa Kati ameondoka kwenye chama chenu. Sio sawa. Msingoje mpaka aondoke ndo mseme.
Uenda wameamua kujisafisha. Wangeendelea KUA CCM. Wangeendelea kuwa mafisadi.
Kinyonga ubadilika kutoka na mazingira.
Ni Nani msafi ndani ya CCM?
Kama boss anapiga. Kwanini na Mimi nisipige?