robaldo alisema watatetea kombehakuna cha [HASHTAG]#hala[/HASHTAG] madrid sahizi ni haraaa madrid ni doz tuuu
Goli lipi mkuu..tukumbushe km hutojali..Madrid eti Leo wanalalamika wamefungwa goal la offside
Wamesahau ni mwezi Wa NNE tu walikuwa wanashangilia goal za aina hii
ni doz tuuuMadrid eti Leo wanalalamika wamefungwa goal la offside
Wamesahau ni mwezi Wa NNE tu walikuwa wanashangilia goal za aina hii
ni doz tuuuMadrid eti Leo wanalalamika wamefungwa goal la offside
Wamesahau ni mwezi Wa NNE tu walikuwa wanashangilia goal za aina hii
Goli la Ronaldo dhidi ya Bayern robo fainali second leg pale Santiago Bernebeu.Goli lipi mkuu..tukumbushe km hutojali..
Anhaa...wanasemaga "..what goes around comes back around.." Naona ndo kilichotokeaGoli la Ronaldo dhidi ya Bayern robo fainali second leg pale Santiago Bernebeu.
It's time to offload Benzema and Bale hizo sarafu anunuliwe striker mwenye njaa zake,Perez peleka blank cheque kwa Utd leta yule jini Dave tofauti na hapo msimu utakua mgumu sana.
Hakuna haja ya kupanic kwasasa kisa tumefungwa na Spurs, Bado safari ni ndefu sana, tumekuwa na bahati mbaya tu kwasasa, ni kwamba hayaendi kama tunavyotaka tu. Tutarudi tena.It's time to offload Benzema and Bale hizo sarafu anunuliwe striker mwenye njaa zake,Perez peleka blank cheque kwa Utd leta yule jini Dave tofauti na hapo msimu utakua mgumu sana.
hahaha imekua kinyume sasaLeo tunamnyonya spurs 3 moja akae anajua ilo
Kiukweli, ukiniambia nichague kati ya Isco na Asensio, nitamchagua Asensio, hii team inahitaji mtu kucheza nyuma ya forward awe more direct kutokana na nature ya vijana wetu., Na hii kazi kwasasa anaiweza Asensio na Kovacic, Silva yetu imekuwa muda mwingi kwenye transition kutoka kwenye upande wetu kwenda kwa wapinzani, ila kwasasa hii kitu hamna sababu Isco alipata mpira anatulia kwanza then anatoa pass, Hapo unakuta beki wameshajipanga, kutoboa sasa hapo ni shida,Mayoral comes ON to replace Isco and Asensio comes ON to replace Benzema. This sub shoul be before not now.