Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
Bei ya sukari nchini Kenya ni USD 2.5 per kilo sawa na TSh 6,000 kwa kilo.
Source: ITV taarifa ya habari saa 2 usiku leo.
My take: Bei ya sukari hapa kwetu ni TSh 2,500 lakini kuna mijitu imekuwa imekuwa ikitoa mapovu kulalamikia bei hii na kuiona kama ni kick ya kisiasa dhidi ya serikali.
Source: ITV taarifa ya habari saa 2 usiku leo.
My take: Bei ya sukari hapa kwetu ni TSh 2,500 lakini kuna mijitu imekuwa imekuwa ikitoa mapovu kulalamikia bei hii na kuiona kama ni kick ya kisiasa dhidi ya serikali.