Salamu mbele!
Walio wengi huku mtaani wanaona hafai kuvaa si tu viatu bali hata soksi za mwendazake, sifa pekee inayomtofautisha na mtangulizi wake ni hii Sifa ya demokrasia na utawala bora.
Hivi karibuni ameonekana anaitupa hata hii karata muhimu inayomtofautisha na mtangulizi wake ambayo...
Katika mazingira kama haya ndipo unapoona namna muundo wetu wa Muungano wa serikali mbili ulivyo mbovu na mbaya. Mazingira ambayo tuna Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Zanzibar na waziri wa uchukuzi Prof Mbarawa kutoka Zanzibar pia halafu wanaingia mikataba kuhusu bandari ya...
Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Antipas Lissu amesema mkataba wa kuwakabidhi bandari baina ya Tanzania na Dubai ni swala nyeti (very seriously) ndiyo maana limepelekwa bungeni.
Akiongea club house amesema kitendo cha mkataba huo kupelekwa bungeni kinaashiria unyeti wake na athari ya mkataba...
Aliyekuwa Mtangazaji wa EFM Oscar Oscar AKA mzee wa Kaliua ametambulishwa rasmi Wasafi FM ambapo sasa atakuwa na kipindi chake kitakachokuwa kinaitwa Jana na leo, kikiruka muda uliokuwa wa kipindi cha Mgahawa yaani siku za wiki kuanzia Saa 11 jioni hadi Saa 2 usiku
Nimesikia mwanasheria na uongozi wa Yanga wanasema Feitoto hajafuata utaratibu uliopo kwenye kanuni za FIFA za kuvunja mkataba ambapo mchezaji ili avunje mkataba lazima kuwe na just cause (reasonable cause).
Kitu ambacho tunatakiwa tujue ni kwamba kanuni za FIFA siyo alfa na Omega bali zinatoa...
Ni nini kinafanya watanzania wafikirie kwamba tunastahili haki miliki Royal tour film?
Je ni kutoa mshiriki (mama Samia)?
Je ni kutoa location (mbuga zetu)?
Kwanini hatujiulizi;
Ni nani mwenye idea na producer wa hiyo film?
Ni nani aliyetoa fungu la fedha la kugharamia hiyo film?
SEHEMU YA PILI
Gari ya polisi iliwashwa kuelekea kituoni. Amani alionekana mtu aliyejawa na hamaki, hisia za kufedheheka zimemjaa . Mawazo yakiwa yamemtanda akamwangalia Hashimu Kwa jicho la hasira na kisirani.
"Siamini kama Hashimu ungeweza kunifanyia hivi" aliongea Amani Kwa sauti ya...
Hehehe dooh pole sana ndugu yangu Bashite, Dunia Haina huruma alipaswa kuwa makini toka mwanzo. Maamuzi yako ni matokeo ya kesho. MaRC wastaafu wenzake mbona hawalalamiki?
Who is the innocent/bonafide purchaser in Tanzania?
The buyer is an innocent or bonafide purchaser in Tanzania if he had no actual notice, constructive and imputed notice when buying the suit landed property.
The remedy of innocent purchaser is to be declared to be rightful owner of the landed...
Weka vizuri hizo tarehe zako.
Pili rudi kwenye mkataba wenu unasemaje kuhusu termination (usitishwaji wa mkataba). Mwenye nyumba anatakiwa akupatie notice ya muda gani?
Kama mkataba wenu upo kimya au ni wale wa makubaliano ya mdomo basi notisi ya mwezi mmoja uliyopewa inatosha kabisa. Labda...
Msimamizi wa Mirathi aliyeteuliwa na mahakama kwenye hizo mali ni nani?
Kiufupi mnatakiwa mgawane mali zote mapema iwezekanavyo na ndivyo sheria inavyotaka. Msimamizi wa Mirathi akishateuliwa na mahakama anapewa miezi minne au sita tu ya kugawa mali za marehemu na kufunga jalada la Mirathi...
Kada machachari wa chama cha ACT Wazalendo, Ismail Jussa amesema kwamba hakubaliani na hoja kwamba mchakato wa katiba mpya uanze mwaka 2025 baada ya uchaguzi. Ismail Jussa ametoa msimamo huo kupitia akaunti yake ya Twitter.
Kauli hii ya Jussa inakuja kipindi ambacho chama chake kimeshaweka wazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.