Ipi haki ya Mpangaji kwenye nyumba za kupanga?

Wilfred Ramadhan

JF-Expert Member
Apr 7, 2022
502
900
Samahani jamani nahitaji msaada kidogo juu ya hili.
Tareh 15.08.2022 niliingia katika mkataba wa nyumba ya kupanga ambapo nililipa kodi ya miezi sita na fedha za udalali baada ya hapo ikapita kama miezi mitano nyumba ikaanza migogoro baina ya mmiliki alienipangisha na aliesemekana ni mmiliki mpya maana nyumba ilikua ya urithi na marehemu alikua anadaiwa kwa ninavyosikia basi tangazo likawekwa na wamiliku wapya hao kwamba mmiliki kapatikana na ni baada ya minada kadha wa kadha tukapewa siku 30 za kuhama pale na mwenye nyumba wetu alikua haji kwa mda uo basi wale wapya wakatupa mda kwamba tkae hadi tarehe 30/5/2022 leo mwenye nyumba yule wa zamani anakuja anatuambia tutoke tarehe 15 ipo sahihi ?
 
Samahani jamani nahitaji msaada kidogo juu ya hili.
Tareh 15.08.2022 niliingia katika mkataba wa nyumba ya kupanga ambapo nililipa kodi ya miezi sita na fedha za udalali baada ya hapo ikapita kama miezi mitano nyumba ikaanza migogoro baina ya mmiliki alienipangisha na aliesemekana ni mmiliki mpya maana nyumba ilikua ya urithi na marehemu alikua anadaiwa kwa ninavyosikia basi tangazo likawekwa na wamiliku wapya hao kwamba mmiliki kapatikana na ni baada ya minada kadha wa kadha tukapewa siku 30 za kuhama pale na mwenye nyumba wetu alikua haji kwa mda uo basi wale wapya wakatupa mda kwamba tkae hadi tarehe 30/5/2022 leo mwenye nyumba yule wa zamani anakuja anatuambia tutoke tarehe 15 ipo sahihi ?
Uko mbele ya muda sana (tazama tarehe zako).

Jiridhishe;

1. Kama kuna Oda ya Mahakama.

2. Kama Oda ipo, imemtaja nani ni Mmiliki wa Nyumba.

3. Ona kama mnaweza kuelewana naye kulingana na uhitaji wako.

Kwa ujumla, Nakushauri hama hapo.
 
huna haki zaidi ya kulala tu hadi kodi yako iishe, unataka haki kajenge yako
 
Samahani jamani nahitaji msaada kidogo juu ya hili.
Tareh 15.08.2022 niliingia katika mkataba wa nyumba ya kupanga ambapo nililipa kodi ya miezi sita na fedha za udalali baada ya hapo ikapita kama miezi mitano nyumba ikaanza migogoro baina ya mmiliki alienipangisha na aliesemekana ni mmiliki mpya maana nyumba ilikua ya urithi na marehemu alikua anadaiwa kwa ninavyosikia basi tangazo likawekwa na wamiliku wapya hao kwamba mmiliki kapatikana na ni baada ya minada kadha wa kadha tukapewa siku 30 za kuhama pale na mwenye nyumba wetu alikua haji kwa mda uo basi wale wapya wakatupa mda kwamba tkae hadi tarehe 30/5/2022 leo mwenye nyumba yule wa zamani anakuja anatuambia tutoke tarehe 15 ipo sahihi ?
Sijaelewa Mwanzo hapo kwani Huu mwaka Gani Tupo 2022 au 2023?!
 
Samahani jamani nahitaji msaada kidogo juu ya hili.
Tareh 15.08.2022 niliingia katika mkataba wa nyumba ya kupanga ambapo nililipa kodi ya miezi sita na fedha za udalali baada ya hapo ikapita kama miezi mitano nyumba ikaanza migogoro baina ya mmiliki alienipangisha na aliesemekana ni mmiliki mpya maana nyumba ilikua ya urithi na marehemu alikua anadaiwa kwa ninavyosikia basi tangazo likawekwa na wamiliku wapya hao kwamba mmiliki kapatikana na ni baada ya minada kadha wa kadha tukapewa siku 30 za kuhama pale na mwenye nyumba wetu alikua haji kwa mda uo basi wale wapya wakatupa mda kwamba tkae hadi tarehe 30/5/2022 leo mwenye nyumba yule wa zamani anakuja anatuambia tutoke tarehe 15 ipo sahihi ?
Weka vizuri hizo tarehe zako.

Pili rudi kwenye mkataba wenu unasemaje kuhusu termination (usitishwaji wa mkataba). Mwenye nyumba anatakiwa akupatie notice ya muda gani?

Kama mkataba wenu upo kimya au ni wale wa makubaliano ya mdomo basi notisi ya mwezi mmoja uliyopewa inatosha kabisa. Labda haki uliyonayo ni kurudishiwa Kodi yako ya miezi iliyobaki.
 
Back
Top Bottom