GT, kuna massage nimetumiwa WhatsApp kwamba unaweza fanya kazi online na kupata elf 50 kwa siku jamaa akanipa link nikaicopy na kuingia humo ni video za tiktok.
Sasa kilichonichanganya wanataka kwanza niwaingizie 5000 halafu naweza pata 10,000/= kwa 5 - 10min angalia screen short
[emoji1484]
Habari za jioni unaesoma thread hii, kuna mtu alini invite Tala foundation nikakubali na kuangalia kuhusu wao na nikaona kwamba wanatoa mikopo ya chapchap....
Basi nikajaribu kuwasiliana nao kwa njia ya WhatsApp na kunipa utaratibu na nikatimiza taratibu zote na mimi nikataka mkopo wa ml 1...
Wataalam wa Technology habari zenu,
Bajeti yangu ndogo ila natamani nimiliki Iphone katika pita pita zangu nimekutana na Iphone S6 ambayo inaendana na Bajet yangu ila wasiwasi wangu ni kwamba nasikia ifikapo mwakani itakua expired kwamba baadhi ya app km WhatsApp na nyinginezo zitakua hazifanyi...
Habari wana Jamii Forum great thinkers wenza ngumu
Leo naomba nikiri kwamba aliyekua Rais wa awamu ya 5 Dr. John Pombe Magufuli ndie mkombozi wangu ktk mahangaiko ya Kimaisha. Nimeiona watu wengi humu JF na kule Twitter wakimdhihaki mpendwa wetu yule km vile hakuna mema aliyoyafanya.
Ngoja...
Wadau habarini....
Kutokana na mambo kurahisishwa sasa hivi kwamba unaweza check movie online sio km zamani uanze kutafuta maCD, DVD au download.
Nimependezewa na kuangalia movie online ila sasa huwa naogopa kuangalia movie ndefu nikihofia MB zangu kukata kwenye utamu .
Sasa wadau naomba...
Habarini wakuu wa jukwaa hili lenye wataalamu wa kila aina ya mashine.....
Ni hivi Laptop yangu aina ya HP compact imekufa mfumo wa sauti kwamba spika zake haziongei na hata ukitumia sehemu ya earphone nayo haifanyi kazi (imekufa) sasa wadau ili kuepuka kuifungua kwa kitu kidogo km hicho nataka...
Habari zenyu mabibi na mabwana....
Hapo zamani za kale aliumbwa Adam inasemekana ndio kiumbe wa kwanza then Muumba akaona huyu jamaa yupo mpweke tumfanyie mwanamke hapo akapatikana bi Hawa.......
Inasemekana ya kwamba Adam alipomuona hawa matamanio yakamshika akataka kumvamia bi Hawa Muumba...
Habari wanaMMU..,
Kuna msichana tupo katika dating sasa tumefikia makubaliano ya kufunga ndoa tujenge familia ya watoto kadhaa changamoto iliyokuwepo ni huyu mwenzangu anataka tuishi tu hivihivi kwanza halafu baadae ndio anipeleke kwao kunitambulisha.
Huyu msichana tumekutana tu mjini katika...
Habarini wana Intelligence ....
...hili jambo linanichanganya sana juu ya uwepo wetu Duniani....
Nikiangalia vitabu vya Dini zote vinatuambia kwamba, lengo la kuumbwa kwetu Mungu alitaka kiumbe kitakachoweza kuitawala Dunia na vilivyomo ndani yake.
Sasa hapohapo vitabu vya Dini vinatuambia...
Habarini wanajf, karibuni tujadili hili kwa kina ikizingatiwa tupo katika wakati wa Kombe la Dunia.
Kwa mtazamo wangu Ufaransa ndio timu itakayochukua Ubingwa na sababu kubwa ni kikosi walichokiandaa kilichosheheni wachezaji wenye uzoefu wakicheza ligi mbalimbali Duniani, pia Kocha Deschamps...
Raia Mwema ni gazeti la uchambuzi wa kisiasa na wakijamii lina wachambuzi waliobobea kama Mbwambo, Generali Ulimwengu, Majid Mjengwa, Chahali wa uskoch, Hemed yule mzanzibar, Ezekiel Kamwaga, Mihangwa, Zitto mara mojamoja nae hua anaandika Makala na wengine wengi.
Nilianza kulifuatilia Gazeti...
Habari za weekend wanaJF, mimi ni kijana mwenye nia ya kujiajiri na kufikia malengo ya kuwa na project kubwa hapa nchini. Nimefanikiwa kupata Stashahada ya uhandisi mitambo Taasisi ya teknologia Dar es salaam DIT mwaka 2014 baada ya hapo nikafaya kazi katika Kampuni mbalimbali kwa kujitolea ili...
Kwa mara ya kwanza kampuni ya Microsoft imesema hadharani kwamba rasmi sasa hawatatengeneza wala kuendeleza tena mfumo wa Windows kwa simu janja (windows Phone OS).
Taarifa rasmi kupitia mtandao wa Twitter imeelezwa kuwa haina mpango wala matumaini yoyote ya kuongeza matoleo mapya kwa simu zenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.