Hao waliosimama kwenye barget ya chai na viti hawakuwekwa
Na hizo glass na vikombe wamewekewa na wenyeji wao, walienda kutalii. Wakenya bhana.Angalia kwenye meza watu weupe wana kalamu na karatasi,glass na vikombe. Watu weusi wana Glass na vikombe tu
'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Nimekutag kutokana na ule ubishani wa Malcolm anaposema kwamba sisi na wazungu ni nature ndio iliyotutenganisha na kuwafanya wao kuwa na akili zaidi, ona hapo sasa hao wa Kenya wakitoka hapo ukiwauliza mmezungumza nini hawana kumbukumbu lkn wenzetu wananote kila kituWakati wengine wana ile Natural Confidence & Power authority wengine wanajitahidi kuzitengeneza (angalia body language zao toka ukaaji, ukutanishaji mikono, tabasamu zao even uangaliaji wao).
Ni kama kuna Wasaili na Wasailiwa.
Na hauwezi kuisha
Halafu wao wakija kwetu wanataka kujilinda wenyewe kila kona kweli tunadharaulikaukumbi mzima una ulinzi wa D. C lakini wa NAIROBI amna!!! ! what's wrong even wa mpambe wa rais kenyeiii hamuna? ?? ??? halooooooo