UMEGUNDUA NINI HAPA

UMEGUNDUA NINI HAPA

Abuu Said

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2015
Posts
4,009
Reaction score
4,773
malcolm Lumumba, Wick mgambilwa
IMG_20180828_162609.jpg


'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
Wakati wengine wana ile Natural Confidence & Power authority wengine wanajitahidi kuzitengeneza (angalia body language zao toka ukaaji, ukutanishaji mikono, tabasamu zao even uangaliaji wao).
Ni kama kuna Wasaili na Wasailiwa.
 
Wakati wengine wana ile Natural Confidence & Power authority wengine wanajitahidi kuzitengeneza (angalia body language zao toka ukaaji, ukutanishaji mikono, tabasamu zao even uangaliaji wao).
Ni kama kuna Wasaili na Wasailiwa.
Nimekutag kutokana na ule ubishani wa Malcolm anaposema kwamba sisi na wazungu ni nature ndio iliyotutenganisha na kuwafanya wao kuwa na akili zaidi, ona hapo sasa hao wa Kenya wakitoka hapo ukiwauliza mmezungumza nini hawana kumbukumbu lkn wenzetu wananote kila kitu

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
ukumbi mzima una ulinzi wa D. C lakini wa NAIROBI amna!!! ! what's wrong even wa mpambe wa rais kenyeiii hamuna? ?? ??? halooooooo
 
ukumbi mzima una ulinzi wa D. C lakini wa NAIROBI amna!!! ! what's wrong even wa mpambe wa rais kenyeiii hamuna? ?? ??? halooooooo
Halafu wao wakija kwetu wanataka kujilinda wenyewe kila kona kweli tunadharaulika

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
Back
Top Bottom