Abuu Said
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 4,010
- 4,748
Wataalam wa Technology habari zenu,
Bajeti yangu ndogo ila natamani nimiliki Iphone katika pita pita zangu nimekutana na Iphone S6 ambayo inaendana na Bajet yangu ila wasiwasi wangu ni kwamba nasikia ifikapo mwakani itakua expired kwamba baadhi ya app km WhatsApp na nyinginezo zitakua hazifanyi kazi je hii ni kweli?
Nisije nikaingia mkenge.
Nawasilisha.
Bajeti yangu ndogo ila natamani nimiliki Iphone katika pita pita zangu nimekutana na Iphone S6 ambayo inaendana na Bajet yangu ila wasiwasi wangu ni kwamba nasikia ifikapo mwakani itakua expired kwamba baadhi ya app km WhatsApp na nyinginezo zitakua hazifanyi kazi je hii ni kweli?
Nisije nikaingia mkenge.
Nawasilisha.