#tweetLikePolepole

#tweetLikePolepole

Abuu Said

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2015
Posts
4,009
Reaction score
4,771
1d1a92446ce4a5ab8699878b9a47c761.jpg
95e4b10b9a8f361c5d60406bc8f71d62.jpg
f3088deb0ba53266fdf08f8fd0f605fb.jpg
d0535868629d1535ebba96d2fc88316c.jpg
04278709e998303296c566bc30f1b4c3.jpg
9337431bc154606e5ac6ed4865574609.jpg
a72d1c36b9bdcab3246ebb379b405f9b.jpg
d3598acf45c67a329ca937a82b09e35b.jpg

Hebu na wewe mwana jf weka na ya kwako
 
Sielewi imekuaje mpaka watu wakaanzisha hiyo Hashtag ya tweet like polepole mkuu

Nahisi Mabala au Lubasha ndio walianzisha hii Hashtag ikiwa na lengo la kuonyesha jinsi gani Polepole ana tweet vitu vya ajabu alafu kila jambo lazima aseme kua CCM mpya na Tanzania mpya.
 
Nahisi Mabala au Lubasha ndio walianzisha hii Hashtag ikiwa na lengo la kuonyesha jinsi gani Polepole ana tweet vitu vya ajabu alafu kila jambo lazima aseme kua CCM mpya na Tanzania mpya.
anhaa hapo sawa nimekupata
 
nimepishana na gari limebeba zile mil 50 za kila kijiji linakuja kijijini kwetu hapa nilipo nageuza baiskeli yangu nami nikachukue mgao wangu, asante ccm mpya tanzania ya vi-wonder
 
Back
Top Bottom