Mada haihusiani na dini.
1. Viumbe hai tuna msaada gani kwa Dunia Nini faida yetu?
2. Nini thamani ya viumbe hai hapa duniani mchango wetu ni upi?
3. Ikitokea viumbe hai hakuna katika sayari hii, je Dunia itaathirika kwa lolote ni madhara gani yatakayoipata Dunia kutokana kutokuwepo viumbe...
Sitaandika yote kuficha kujulikana Kwasababu za usalama wangu na sitataja Kituo (mojawapo ya vituo vya police DSM) Kwasababu walio nifanyia hayo mateso, wapo na wanaendelea na utumishi wao kuumiza wa Tanzania.
Sitosahau mwaka 2021 mwezi March nilipokea simu ya mtu aliyejitambulisha kuwa ni...
Mwaka 2008 nilipata ajira ya kibarua Cha muda mfupi (miezi 3) katika moja ya taasisi za kimataifa.
Baada ya kumaliza mkataba wa kibarua changu nilipata pesa kidogo ambayo nilijishauri kujiajiri na kuajiri vijana wenzangu kwasababu ya tatizo la uhaba wa ajira ili kuipunguzia mzigo Serikali...
Kiukweli hili shirika linasikitisha yanayoendelea ni aibu kwa mamlaka zetu zinazohusika na kupambana na kuzuia Rushwa kwamba kinachoendelea hakijulikani au wameamua kwa makusudi kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake?
1. Kupata survey bila kutoa rushwa utakaa miezi hata mi nne au zaidi.
2...
Binafsi si mwanasiasa na siwezi kuwa mwanasiasa ila ni mpenda haki nimeamua kujiondoa kutumia huduma za mtandao wa TIGO kwa sababu hizi:
Katika kesi ya ugaidi inayomkabili mbowe na wenzake mwanasheria wa Tigo alidai kuwa huwa wanatoa taarifa za wateja za miamala na mawasiliano bila ridhaa ya...
Kaweesi alizaliwa katika Kyazanga, wilaya ya Lwengo. Wazazi wake (Esther na Alfonse Mutabazi) waliendelea wakati wa utoto wake na hii ilimuacha yeye na nduguze mikononi mwa jamaa zake. Wazazi wa Kaweesi waliwaachia ardhi ya ekari 640 katika kijiji cha Kitwekyagonja wilayani Lwengo. .baadaye...
Heri ya Mwaka Mpya.
Unakata tamaa unamkatia nani?
Pambana Pambana Pambana Usikate tamaa
Ugumu wa maisha iwe changamoto ya mapambano kutafuta mafanikio.
Hakuna mafanikio pasipo mapitio magumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Katibu mwenezi CHADEMA jimbo la Hai, Humphrey anasema "alitekwa na kulazimishwa kufanya mahojiano na @ayotv_ kupinga maamuzi ya kujitoa uchaguzi serikali za Mitaa". 'syndicate' ya watekaji ni kubwa lakini inafanywa kiboya sana. Inawaacha uchi watekaji
Leo nimejiunga kifurushi cha Tzs. 5,000 kupitia Tigo Pesa nimekatwa pesa na sikupata kifurushi nimepiga simu huduma kwa wateja nikaambiwa nisubiri masaa 72 nitarejeshewa pesa yangu iliyokatwa kuna tatizo la mtandao.
Je kwa huu usumbufu hatuna sheria ya kuwashitaki mitandao ya simu?
Mwaka huu...
Tulipewa dili la kazi ya kubadilisha mazulia katika nyumba ya tajiri mzee mmoja wa KIHAYA Masaki na siku hiyo ilikuwa siku kuzaliwa ya mbwa wake aina ya (Germany shepherd) ilikuwa 2007 siku kama ya leo.
KEKI KUBWA ILIKATWA NA TUKAFURAHIA
Ilifanyika tafrija kabambe tulikunywa na kula kusaza...
Ndugu viongozi na wanachama wa Chama Cha Kijamii - (CCK) pamoja na watanzania wote kwa ujumla, naomba kuchukua fursa hii kuwataarifu kwamba Chama chetu kimejitoa rasmi katika mchakato wa uchaguzi wa serikali za mtaa kutokana na ukandamizwaji wa haki za kisiasa
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kupitia kwa Mwenyekiti wake kimatangaza hivyo leo Novemba 09, 2019 ili ni takribani siku 15 kufanyika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Nchini kote
Hongereni kwa ushindi wa kishindo.
Sioni haja ya kutupangisha foleni tena wakati tayari Watendaji wamekipa chama na Serikali ushindi wa 99%.
NASEMA HONGERENI SANA
CCM HOYEE
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Upinzani umesaidia leo hii hata mlala hoi wa kule kwetu sigimbi anafahamu maana ya ufisadi upinzani si uadui bali ni wenye mrengo wa kusaidia pale ambapo serikali imejisahau kukumbusha.
Leo hii bila upinzani tujiulize tungekuwa wapi?
Upinzani ni ukombozi wetu kifikra leo tunatembea kifua mbele...
Nimpe pongezi kidogo Mkuu wa mkoa wa Mbeya.
Adhabu ile haitoshi (angechapa viboko 100) uharibifu ni mkubwa, mno kuchoma mabweni na uharibifu mkubwa wa mali wa namna ile haivumiliki.
Hizi ni kodi za walalahoi Zinazojenga na kuweka Samani Mashuleni.
Ikitokea wapuuzi 2 wavutaji bangi wahamasishe...
Humu jamvini na ktk taasisi mbalimbali kumekuwa na wimbi kubwa la watu kuomba huruma na msamaha je hizi ndio sifa za mabaharia?
Mabaharia ni watu dhaifu kiasi hiki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.