Chama Cha Kijamii (CCK) chajiondoa kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa

impongo

JF-Expert Member
Feb 18, 2015
8,729
7,600
Ndugu viongozi na wanachama wa Chama Cha Kijamii - (CCK) pamoja na watanzania wote kwa ujumla, naomba kuchukua fursa hii kuwataarifu kwamba Chama chetu kimejitoa rasmi katika mchakato wa uchaguzi wa serikali za mtaa kutokana na ukandamizwaji wa haki za kisiasa

62E374C2-0C04-4DAD-AC1A-6C01AD425229.jpeg
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom