impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,729
- 7,600
Ndugu viongozi na wanachama wa Chama Cha Kijamii - (CCK) pamoja na watanzania wote kwa ujumla, naomba kuchukua fursa hii kuwataarifu kwamba Chama chetu kimejitoa rasmi katika mchakato wa uchaguzi wa serikali za mtaa kutokana na ukandamizwaji wa haki za kisiasa