CCM ni shiiida njama za Naibu Rais Daud Bashite kumshauri Mtukufu warejeshe mfumo wa chama kimoja watawale milele kama China zimeanza kuonekana kwa mbali ingawa hawajui kuwa upinzani huwa upo moyoni mwa mtu japo mwingine hakuonyeshi machoni.Hongereni kwa ushindi wa kishindo.
Sioni haja ya kutupangisha foleni tena wakati tayari Watendaji wamekipa chama na Serikali ushindi wa 99%.
NASEMA HONGERENI SANA
CCM HOYEE
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Kwa Tanzania wanaweza kufanikiwa wa Tanzania ni waoga mno hivi sasa hata ukipita kijiweni ukaongea kuhusu jiwe watu wote wanahama kijiwe na kukuambia habari hizo achana nazo bado tunahitaji kuishi.CCM ni shiiida njama za Naibu Rais Daud Bashite kumshauri Mtukufu warejeshe mfumo wa chama kimoja watawale milele kama China zimeanza kuonekana kwa mbali ingawa hawajui kuwa upinzani huwa upo moyoni mwa mtu japo mwingine hakuonyeshi machoni.
Kwa Tanzania wanaweza kufanikiwa wa Tanzania ni waoga mno hivi sasa hata ukipita kijiweni ukaongea kuhusu jiwe watu wote wanahama kijiwe na kukuambia habari hizo achana nazo bado tunahitaji kuishi.
Wamefanikiwa na wametengeneza taifa la waoga hata kunguru ana nafuuYa Cameroon, Uganda, Zimbabwe, China sasa yanaenda kuwa ndiyo maisha lazimishi toka CCM, uipende CCM usiipende, uichague usiichague itakuongoza tu tena hata bila kufuata Sheria wala katiba, kwa sasa Nchi inaongozwa kwa zidumu fikra binafsi za mwenyekiti wa CCM Taifa siyo kwa mujibu wa katiba na Sheria.
Kabisa Wana stahili pongeziHakuna namna tuwape pongezi tuunge juhudi za jiwe
Hizi ndizo zinazoitwa porojoKwa Tanzania wanaweza kufanikiwa wa Tanzania ni waoga mno hivi sasa hata ukipita kijiweni ukaongea kuhusu jiwe watu wote wanahama kijiwe na kukuambia habari hizo achana nazo bado tunahitaji kuishi.