Mwaka 2015 Nilirudi kutoka kutafuta maisha,sikuwa mbali sana na nyumbani nilikuwa moja kati ya nchi zinazotuzunguka...
Huu ni mwaka uliokuwa na matukio mengi katika maisha yangu ukiacha mkenge tulioingia kama nchi kwa kumchagua Magufuli kuwa Raisi pia kwa mara ya Kwanza niliachwa na mtu...
Ukimfunika kukata mauno atakushinda kutunga. Ukimfunika umaarufu atakutesa kwa sauti. Ukimsumbua kuhonga media yeye atakuumiza kwa kutojisumbua na hizo media. Ni kama kumpenda mwanamke ambaye hajui kama unampenda.Na mbaya zaidi hata hisia juu yako hana. Utaumia sana.
NdIo Ali. Hata mashabiki...
RIWAYA: KONSTEBO NGUZU
NA: George Iron Mosenya
"Nimekosa magoli zaidi ya 9000 katika maisha yangu, nimepoteza mechi zaidi ya 300 katika maisha yangu, niliaminiwa mara 26 kuwa nitaipa timu yangu ushindi lakini nikashindwa. Nilishindwa tena na tena na tena katika maisha yangu NDIO MAANA...
Katika Hali ya kushangaza Mwanza Mwanza Fid Q ameonyesha ukomavu wake kwa kuisifia na kuipiga promo kazi mpya ya Mwamba Joh Makini.
Ni kitu cha kustusha kweli kweli ukizingatia kumekuwa na kile kinachoonekana bifu kwa zaidi ya miaka 10 Kati yao.
Ila siku ya Leo imefungua ukurasa mpya Kati yao...
Tupo kwenye sensa kujua wimbo gani wa King unaokubalika zaidi.
Tafadhali husika na Kichwa cha habari hapo juu hatutaki maneno maneno wala hatutaki malumbano na team ujanja ujanja kwenye Uzi huu.
Kama humkubali hayo ni mapenzi yako binafsi na kama Huna wimbo unaoukubali kutoka kwake hayo ni...
Hii kitu sio mara ya Kwanza kutokea malumbano kati ya Ali na Sallam.
1.Show ya Tigo Dar es salaam
mwaka jana kwenye show ya Tigo ambayo wasanii A List wa bongo flava wote walikuwemo ila baada ya ile show ambayo Ali kama kawaida yake alikimbiza Sallam kesho yake alishinda huko Twitter...
Mwanzo nilikuwa mbishi mbishi kukubali kuwa ni ujinga kuanzisha mahusiano na mwanamke ambae ameshazalishwa na mwanaume mwingine(single mother) labda pengine huyo mwanaume wake awe ametangulia mbele za haki otherwise utawekwa mitala hivi hivi unajiona.
Nisiwachoshe wakuu maana habari yenyewe ni...
IMEANDIKWA NA:GEORGE IRON MOSENYA
SEHEMU YA 1
IMEANDIKWA NAYE: George Iron Mosenya
SEHEMU YA KWANZA
Maisha wakati mwingine si jitihada pekee zinazoweza
kukutoa sehemu moja kwenda nyingine, kuna wakati
bahati inahusika katika maisha.
Si kwa wote lakini mimi nilibahatika kuwa mtoto
kutoka...
MTUNZI: George Iron Mosenya
TUNUKIO!
Simulizi hii ni maalumu kwa kila mtanzania na yeyote anayezungumza na kukisikia Kiswahili. Simulizi hii iondoke na mawazo finyu uliyonayo kuhusu walemavu
wa ngozi yaani Albino. Ufungue moyo wako iruhusu na
akili yako kubadilika sasa!! Badilika wewe mbadili...
*****SEHEMU YA KWANZA*****
NA.GEORGE IRON MOSENYA
. . Joto lililokuwa katika chumba kikubwa cha ‘internet café’ liliwafanya wateja wajipepee kwa kutumia makablasha kadhaa waliyoingia nayo ama kuyakuta katika chumba kile.
. . Joto lile lilikuwa kero kwa kila mteja mle ndani, lakini kwa...
NA: George Iron Mosenya
SEHEMU YA KWANZA
ILIKUWA yapata majira ya saa tatu na dakika zipatazo
kumi na mbili kwa mujibu wa saa yangu ya mkononi.
Nilikuwa nimegida chupa za pombe zipatazo tatu na
hapo nilikuwa nikikisikia kichwa changu walau kwa
kiasi fulani kikiwa kimechangamka na ule mzigo wa...
RIWAYA: HILA
MTUNZI: George Iron mosenya
MWANZO WA SHUBIRI
Umri wao ulikuwa unakimbilia miaka ishirini na nane upande wa mwanaume na ishirini na tano kwa mwanamke, lakini sasa walikuwa wamegeuka kama watoto wadogo, walikuwa wanakimbizana katika chumba kile kikubwa cha haja huku wakipondana kwa...
IMEANDIKWA NA: George Iron Mosenya
SEHEMU YA 1
Nimejifunza mengi katika maisha yangu, nimejifunza kuliweka wazi sikio langu kumsikiliza kila mtu iwe anazungumza upuuzi ama anajenga hoja chanya na madhubuti!!
Lakini yote juu ya yote, nafanya hivi lakini naweka maanani kitu kimoja tu...
RIWAYA: PUMBAZO
NA: George Iron Mosenya
SEHEMU YA KWANZA
ILIKUWA yapata majira ya saa tatu na dakika zipatazo
kumi na mbili kwa mujibu wa saa yangu ya mkononi.
Nilikuwa nimegida chupa za pombe zipatazo tatu na
hapo nilikuwa nikikisikia kichwa changu walau kwa
kiasi fulani kikiwa kimechangamka na...
RIWAYA: MPANGO WA KANDO
NA: George Iron Mosenya
SEHEMU YA 1
KADRI karandinga lilivyokuwa linazidi kushika kasi ndivyo akili yake nayo ikazidi kuamini kuwa hakuwa katika ndoto tena bali ni kweli alikuwa ameveshwa pingu katika mikono yake na alikuwa ametoka kuhukumiwa kwenda jela kwa miaka...
Huko nyuma tulikuwa hatuna migogoro yoyote mimi na my wife wangu to be.Na kusema ukweli kama ilivyo desturi yetu watu wa kabila langu mimi ndio nilikuwa nimeyashika mahusiano yetu,Mchumba wangu hakuwa anasema kitu mbele yangu yaani ilikuwa hata ikiwa kosa nimefanya mimi kwa kutumia maneno yangu...
SIMULIZI: ANTI EZEKIEL
MTUNZI: George Iron Mosenya
SEHEMU YA KWANZA
Marashi yaliyopuliziwa na mtu ambaye nilikuwa sijauona
uso wake wala kujua yu umbali kiasi gani kutoka katika kiti
nilichokuwa nimekaa kwa ajili ya kunyolewa nywele zangu
yalinivutia kiuhakika, nikaamua kumshirikisha...
Nipo Johannesburg,South Africa hapa mitaa ya Jeep street tumejifungia ndani toka saa 10 jioni wenye nchi yao wanapiga wageni,kuwaua na kuwachoma moto kama kuku.Wanapita mtaa kwa mtaa wakikuona mgeni hakuna kuuliza ni kipondo bila huruma.
Wanachoma matahiri barabarani na kuyachoma moto magari...
Zilipendwa ni nyimbo fulani nzuri za miaka kadhaa nyuma...kulikuwa na bendi kama sikinde,msondo,Dar Jazz,Kilwa Jazz na nyingine kibwena..
kwa mtazamo wako unadhani muimbaji gani ndie bora zaidi kuwahi kutokea kwenye aina hii ya mziki hapa bongo
#mimi kwa upande wangu nampa kura yangu TX...
Nimetatizwa sana na hii kitu nimewahi kusikia mara kadhaa huko nyuma watu wakisema kuwa kuku hasa yule anaetaga au mwenye vifaranga huwa ana sumu kali kuliko hata ya nyoka.
Wakasema kuwa kama ukiwa unataka kumkamata usiku hasa kwenye giza ni lazima uongee ili ajue kuwa huyo anaekuja ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.