mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,194
Nimetatizwa sana na hii kitu nimewahi kusikia mara kadhaa huko nyuma watu wakisema kuwa kuku hasa yule anaetaga au mwenye vifaranga huwa ana sumu kali kuliko hata ya nyoka.
Wakasema kuwa kama ukiwa unataka kumkamata usiku hasa kwenye giza ni lazima uongee ili ajue kuwa huyo anaekuja ni binadamu la sivyo ukipenyeza mkono wako kimyakimya akikudonoa dawa huwa hakuna lazima unabadilishwe jina kuwa marehemu.
tafadhali mwenye ufahamu juu ya kitu nitoeni gizani hizi ni habari za ukweli au ni mambo ya binadamu wa kwanza alikuwaga sokwe
Natanguliza shukrani wakuu
Wakasema kuwa kama ukiwa unataka kumkamata usiku hasa kwenye giza ni lazima uongee ili ajue kuwa huyo anaekuja ni binadamu la sivyo ukipenyeza mkono wako kimyakimya akikudonoa dawa huwa hakuna lazima unabadilishwe jina kuwa marehemu.
tafadhali mwenye ufahamu juu ya kitu nitoeni gizani hizi ni habari za ukweli au ni mambo ya binadamu wa kwanza alikuwaga sokwe
Natanguliza shukrani wakuu