Kama mnavyojua hawa black Americans walikuja kwa kasi sana hapa Tanzania ila kwa sasa wanaondoka kwa wingi na hizi ndio baadhi ya sababu wanazozitoa
..ishu ya viza, kupata permit imekuwa ni ishu mpaka inawabidi kila baada ya miezi mitatu watoke nje ya nchi ili wagongewe viza nyingine...
Wakuu nime download Photoshop zaidi ya mara tano kila nikifungua inaniletea huu ujumbe
Na nikiifungua manually inaniletea option ya kulipia ingawa niliyodaownload ni cracks
Mkuu wa mkoa wa dar huuni ujumbe kwako....
Achana kwanza na omba omba ungeanza na wamachinga waliojenga vibanda vyao kwenye njia za watembea kwa miguu kwani wamekuwa kero kubwa sana
Wamefanya jiji limekuwa chafu sana yaani mpaka aibu kwa wageni kwa kweli.
Wakuu habari za jioni?
Mimi ni kijana wa miaka 32 kuna tatizo kwa kweli limekuwa likinikosesha raha sana, nimeona nikilileta hapa jamvini ninaweza kupata suluhisho.
Kama nilivyoainisha hapo juu umri wangu ni miaka 32 lakini nina muonekano kama wa mtu mwenye miaka 40+ , yaani imefikia...
Inavyoonekana huyu ndugu spirit yake ya upambanaji ipo juu Sana, licha ya mambo kumuendea kombo kwenye ligi ya nba.
bado hajakata tamaa anaendeleza mapambano na bila Shaka anaendelea kupiga hela za kigeni.
Kwa mujibu wa habari kutoka marekani Hashim Thabit kwa sasa ni milionea coz hela zake za...
Samahani wakuu km kichwa cha habari kinavyojieleza naombeni msaada wa hizo set up zimenihangaisha tokea asubuhi mpaka jioni bado sijafanikiwa.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Wakuu naombeni msaada
Nataka kununua laptop kwa mtu ila sijajua jinsi ya kuangalia specifications nikiwa na maana ram, I core na vinginevyo
Ni sehemu gan kwenye laptop naweza kuona specifications?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Nimeisoma hii habari kwenye gazeti la Mwananchi la leo imenisikitisha sana.
Yaani bangi ya laki nne ndio utoe hukumu ya kifungo cha maisha?
Najaribu kupiga hesabu ya umri wa mtuhumiwa ambao ni miaka 26 na muda atakaokaa gerezani, hakika ni hasara kwa nchi.
Najiuliza hawa waliokuwa wakitunga...
Salaam wakuu.
Kwa muda sasa nimekuwa nina interest ya kujifunza graphic design ila sijajua pa kuanzia, nimekuwa niki Google na kuangalia video YouTube lakini bado sijapata mwanga.
Sana Sana nimekuwa naona program zinazotumika ambazo ni Photoshop, in designer na illustrator sijajua hizi program...
Ikiwa imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mkuu nchini kufanyika.
Tunataarifiwa mpaka sasa hakuna hta mtu mmoja aliyepoteza maisha, hakuna mgombea aliyeenguliwa na tume, hakuna vurugu zozote zilizotokea mpaka polisi walazimike kupiga mabomu ya machozi.
Wagombea wote wanapiga kampeni kwa uhuru...
Naandika hili bandiko nikiwa nimetoka kuangalia video ya traveling sister huko YouTube.
Kwa msio mjua traveling sister, huyu dada ni Mmarekani mweusi ambayo ameolewa na Mtanzania na wanaishi Arusha.
Sasa kwenye hiyo video wamekutana na diaspora wengine wanaoishi hpo Arusha wakiwemo Wajamaika...
Wakuu km heading inavyojieleza kampuni ya mwananchi ivi karibuni itaanzisha huduma ya usafirishaji wa vifurushi kwenda mikoani .km mnavyojua hii huduma ilikuwa inahitajika mno, especially kwa wajasiriamali kwenye kutuma bidhaa zao kwa wateja walioko mikoa mbalimbali hpa nchini
Kudos kwa kampuni...
Wakuu imekuwa kawaida kila unaposkia inazungumziwa mafinga iwe kwenye taarifa ya habari hta humu jamvini kwa namna moja ama nyingine itakuwa inazungumziwa kambi ya jeshi. Sasa najiuliza huko mafinga zaidi ya kambi ya jeshi kuna kitu gani kingine? Au ni mji wa wanajeshi watupu?
Uzi tayari
Wakuu habari za asubuhi?
Kwa wale wenzangu na mimi tunaotumia line mbili mbili bila shaka kuna tofauti tunaiona tunapotumia line ya vodacom na mitandao mingine. Binafsi mie kwa upande wa vodacom natumia hadi elfu hamsini kwa mwezi kwa ajili ya vocha lakini cha ajabu hawa jamaa walivyo makauzu...
Wakuu kesho ndyo uchaguzi wa nigeria unafanyika na kwa hali ilivyo kuna kila dalili buhari akashinda tena kiti cha urais. Hii ni kutokana na mpinzani wake mr aboubakar atiku kuwa na skendo za kujipatia utajiri alipokuwa mkuu wa bodi ya forodha miaka ya 90 ...na kwa wale wasiomjua mr atiku ni...
Wakuu km kichwa kinavyojieleza hpo juu nimesahau password ya kwenye laptop yangu inayotumia window 10 kwa yoyote mwenye idea pliiz anisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu huu wimbo nimeubamba ndani siku mbili hizi. Naona umenikolea vibaya sana mpaka leo kutwa nzima nausikiliza
Do anybody is familiar with this very nice song?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.