Naandika hili bandiko nikiwa nimetoka kuangalia video ya traveling sister huko YouTube.
Kwa msio mjua traveling sister, huyu dada ni Mmarekani mweusi ambayo ameolewa na Mtanzania na wanaishi Arusha.
Sasa kwenye hiyo video wamekutana na diaspora wengine wanaoishi hpo Arusha wakiwemo Wajamaika, kikubwa wanacholalamika ni mazingira magumu ya kufanya biashara nchini Tanzania kutokana na sheria ambazo zimeweka mazingira magumu kwa mtu asiye raia wa Tanzania kufanya biashara.
Kwa mfano issue km residential permit imekuwa ni ngumu kuipata na ina gharama sana, sasa ili kulinda status zao za ukazi inabidi hawa diaspora kila baada ya miezi mitatu waende kenya bila kupenda ili wagongewe viza mpakani.
Sasa najiuliza kwanini serikali isiwawekee mazingira bora hawa watu kwa sababu hawa wana mitaji na mawazo ya kutuwezesha kupiga hatua km nchi .
Na isitoshe hawa watu ni Waafrika wenzetu ambao mababu zao walichukuliwa utumwani bila kupenda. Sasa Leo wanarudi nyumbani mnawalipisha permit $ 3000 kweli?
Kwa mujibu wa Traveling Sister kuna Wamarekani weusi wengi sana wana interest ya kuja Tanzania kuishi na kuwekeza Ila wanakwamisha na sheria zisizo rafiki na badala yake wengi wanachagua Ghana ambapo wana initiative maalum kwa ajili yao.
Ushauri wangu kwa serikali kuanza kuwachukulia serious diaspora wote kwa ujumla, kwani kwa trend ninayoiona inayoendelea sasa ivi kwenye hili bara letu la Afrika nchi ambayo itafungua milango kwa diaspora ndyo itakayopata maendeleo kwa haraka zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa msio mjua traveling sister, huyu dada ni Mmarekani mweusi ambayo ameolewa na Mtanzania na wanaishi Arusha.
Sasa kwenye hiyo video wamekutana na diaspora wengine wanaoishi hpo Arusha wakiwemo Wajamaika, kikubwa wanacholalamika ni mazingira magumu ya kufanya biashara nchini Tanzania kutokana na sheria ambazo zimeweka mazingira magumu kwa mtu asiye raia wa Tanzania kufanya biashara.
Kwa mfano issue km residential permit imekuwa ni ngumu kuipata na ina gharama sana, sasa ili kulinda status zao za ukazi inabidi hawa diaspora kila baada ya miezi mitatu waende kenya bila kupenda ili wagongewe viza mpakani.
Sasa najiuliza kwanini serikali isiwawekee mazingira bora hawa watu kwa sababu hawa wana mitaji na mawazo ya kutuwezesha kupiga hatua km nchi .
Na isitoshe hawa watu ni Waafrika wenzetu ambao mababu zao walichukuliwa utumwani bila kupenda. Sasa Leo wanarudi nyumbani mnawalipisha permit $ 3000 kweli?
Kwa mujibu wa Traveling Sister kuna Wamarekani weusi wengi sana wana interest ya kuja Tanzania kuishi na kuwekeza Ila wanakwamisha na sheria zisizo rafiki na badala yake wengi wanachagua Ghana ambapo wana initiative maalum kwa ajili yao.
Ushauri wangu kwa serikali kuanza kuwachukulia serious diaspora wote kwa ujumla, kwani kwa trend ninayoiona inayoendelea sasa ivi kwenye hili bara letu la Afrika nchi ambayo itafungua milango kwa diaspora ndyo itakayopata maendeleo kwa haraka zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app