Acha wizi, kama huna pesa tumia gimp.Wakuu nime download Photoshop zaidi ya mara tano kila nikifungua inaniletea huu ujumbe
Na nikiifungua manually inaniletea option ya kulipia ingawa niliyodaownload ni cracksView attachment 1825474
Ume Sha apply hio crack sasa?Wakuu nime download Photoshop zaidi ya mara tano kila nikifungua inaniletea huu ujumbe
Na nikiifungua manually inaniletea option ya kulipia ingawa niliyodaownload ni cracksView attachment 1825474
Ndio lakini bado inakataaUme Sha apply hio crack sasa?
Nilidownload ya kwanza ikakubali nimeitumia km wiki wakanitumia meseji ime expire ikabidi nidownload upya sasa kila nikidownload inaniletea huo ujumbe nimejaribu kuitafuta hiyo code sijaipata ila wananiletea option ya kudownload pc repair nimejaribu kuscan kwa kutumia hyo pc repair bado inashindikanaUme Sha apply hio crack sasa?
Kama inakuzingua sana Tafuta Cs6 portable, unadownload na kutumiA tu.Nilidownload ya kwanza ikakubali nimeitumia km wiki wakanitumia meseji ime expire ikabidi nidownload upya sasa kila nikidownload inaniletea huo ujumbe nimejaribu kuitafuta hiyo code sijaipata ila wananiletea option ya kudownload pc repair nimejaribu kuscan kwa kutumia hyo pc repair bado inashindikana
Nimejaribu kuzifuta lakini inaonekana bado zipo somewhere zina run km kawaidaSina uhakika lakini nahisi tatizo litakuwa hpa kwenye iz program View attachment 1825821
Ipi hyo mkuu? Ni photoshop pia?Kama inakuzingua sana Tafuta Cs6 portable, unadownload na kutumiA tu.
Ndio Photoshop Sema yenye we inakuwa packed tofauti. Kwanza ni ndogo pengine mb 100 mpaka 300 pia haihitaji ujuzi wowote unadownload, extract na kutumiA huna haja ya ku install wala kuweka crackIpi hyo mkuu? Ni photoshop pia?
Ahsante mkuu ngoja niichekiNdio Photoshop Sema yenye we inakuwa packed tofauti. Kwanza ni ndogo pengine mb 100 mpaka 300 pia haihitaji ujuzi wowote unadownload, extract na kutumiA huna haja ya ku install wala kuweka crack
jaman nisaidien product key ya adobe photoshop
Mi kwangu imeshindikana imenibidi kudownload Photoshop ya cs6 vipi itanifaa?Nenda Getintopc site. Search adobe Photoshop idownload.
Kabla hujaextract hakikisha PC is disconnected na WIFI au anything (ZIMA WIFI YA PC) then Zima Window threat protection zote. Temper na cloud zote.
Then rudi extract na install.
Ikikamilika washa.
Kama una antivirus yoyote zima tafadhali.
Maana file zipo cracked, ukiwa na data zitajiconnect automatically wakati wa kuinstall kuharibu mambo. Ukiwa na antivirus or threat protection On, kila file unknown sources litakuwa linachujwa kuharibu app kuinstall.
Ninaongea nachojua ilinisumbua sana.
Itapendeza usome kila maelezo plus wana video vya turtorial ya kuinstall.
Kazi kwako.