Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Wakuu leo nimejikuta natamani nami kutoa maoni yangu kwa jukwaa hili
Mie si mwandishi mzuri lakini nadhani moderator watanivumilia nifikishe hiki nilichokishuhudia.
Nikiri kuwa Mheshmiwa Rais Samia Suluhu Hasani ni mfano wa kuigwa wa demokrasia za kusini mwa jangwa la Sahara...
Najua wengi mnakumbuka kura za maruhani kule Pemba zilivyoishangaza nchi yetu sasa ukistajabu ya Pemba ambapo maruhani walizaliwa baada ya kutokuwa na wagombea wa CUF ujayaona ya Nairobi.
Ghost voters (kura za mizimu) ndizo zilizomnufaisha rais Rutto ambapo zinakadiriwa kuwa zaidi ya 500k sawa...
Niwasalimie watu wa Mungu mlioko humu
na pia nitoe pongezi kwa serikali hii kwa kutufikisha kwenye uchumi wa kati hongera sana ingawa bado huku street tumepigika haswa.
Hakuna halimashauri katika nchi hii ambayo ina hali mbaya kama ya Mwanga
yaani Mwanga ni kama tuko Somalia kila kitu kiko...
Mmiliki wa mabasi ya Kirumo Charo na Katibu Mkuu wa chama cha wamiliki wa mabasi TABOA, Ndg. Enea Mrutu ambaye pia ni diwani wa kata ya Shighatini CCM wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro, amefariki dunia baada ya kubanwa kifua ghafla Mwirange disp. Mwanga!
Pia soma
> Chama cha Wamiliki wa...
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Wakuu hiki Chama mi kimenitia majeraha makubwa hakika. Nakumbuka miaka nane ilopita tukiwa na mama yangu kijijini tukisikiliza radio five ghafla ikatangazwa break news mtangazaji Alli Shemdoe akatangaza kupigwa kwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA wa NMC moja kati ya majeruhi alikuwepo Abdi Madava...
Nianze kwa kuwatoa hofu dhidi ya corona virus ila niwasihi kufwata maagizo ya wataalam wa afya
Wakuu juzi nilibahatika kukutana na mmoja kati ya wakubwa wa chama cha mapinduzi mkoani Arusha katika stori mbili tatu alinambia kuwa moja ya kazi ngumu ambayo CCM na serikali inakaribia kutushinda...
Salam sana wapenzi wana jamvi.
mjumbe hauwawi mimi ni CCM kindakindaki ila kwa huyu mwenyekiti wetu wa sasa anaingizwa mtegoni kirahisi sana ns hawa wahuni kinachokwenda kutokea msiniulize ila CCM tunaenda kuwa chama cha upinzani
Tembo wamevamia makazi ya watu wilayani Mwanga. Wakati sisi wataalam wa wanyamapori tukishirikiana na askari wa wanyamapori kuwaondosha kitaalamu, Mbunge Maghembe ameunda kikosi cha waganga wa kienyeji ili kuwafukuza Tembo hao kwa njia ya kitamaduni.
My Take:
Kama hao ndio wasomi wetu tuna kazi...
Nianze kwa kuwasalimu
Pili niwatahadharishe wakazi wa Mwanga na raia wema wanaoishi katika wilaya hii pia kilio hiki kimfikie RPC mkoani Kilimanjaro pia kwa Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi hii.
Kumekuwa na unyanyasaji na uporaji wa mali na fedha katika wilaya hii. Kuna kikosi cha askari kanzu...
Nitangulize shukrani zangu kwa muumba wa mbingu na nchi
pili niiombeee nchi yangu na vyote vilivyomo
tatu niiulize serikali mashamba ya mkonge yaliyo achwa kuwa mapori huku baadhi yetu hatuna hatta kipande cha mita moja ya ardhi nimali ya nani
Kwanza Kabisa Nitoe Angalizo Kwa Baadhi Ya Asikar Wa Kituo Cha Wilaya Ya Mwanga Walonitisha Kwa Ajili Ya Kuripoti Apa Juu Ya Uonevu Waloufanya Dhidi Ya Vijana Wa Usangi Kwa Kuwakamata Wakiwa Kwenye Vijiwe Vya Bodaboda Na Kuwabambikia Kesi Za Wizi Wa Nyaya Za Umeme Na Narudia Kukumbusha Kuwa Waya...
Kwanza kabisa niombe wanasheria wa Haki Za Binadamu Kutembelea Gereza La Wilaya Ya Mwanga (kiruru) Wakaone Vijana Waliolundikwa Katika Sero Za Gereza Hilo Kwa Makosa Ya Kupambikiziwa Tu.
Inasikitisha Kukamatwa Kwa Vijana Zaid Ya 50 Katika Kata Ya Kirongwe Kwa Kosa La Kukaidi Agizo La Kufanya...
CHADEMA sasa watakuwa wakipokea mabilioni ya fedha za walipa kodi ni ukweli usopingika kuwa chama chetu kitakuwa na fedha za kutosha kujiendesha.
Wakuu chama hik wengi tunajua kuwa kwa muda wote kimelindwa na kutunzwa na wanachama kwa damu na mali zao. Sasa kinachofuata ni chama sasa kulipa...
Wakuu Mimi Ni Mmoja Wa Watu Walomwona Dr Slaa Kama Amekengeuka Na Kuasi Harakati Za Kuwakomboa Wanatanzania Wenye Shida Nyingi Walojisababishia Na Walosababishiwa Na Watawala Wenye Kujitizama Wao Kwanza
Alivyokataa Issue Ya Lowassa Kupeperusha Bendera Ya UKAWA Nilimwita Mroho Wa Madaraka...
Watanzania wote wangekua kama mimi, mh. Kikwete asingetuingiza hasara ya gari 777 ambazo uchaguzi ukipita hazitakuwa na kazi ya kufanyia.
Jamani, hebu tupige kura wao watangaze wamtakae, nasi tumkubali tu, dhambi watapata wao na faida yetu ni amani. Wote tuseme atakayevaa kanga ya mama ndiye...
Wana UKAWA Nia Yetu Ni Ushindi Kwa Maslahi Ya Taifa.
Na Haswa Wale Wasiojielewa Sasa Lazima Tujipange Kimkakati.
1. Mawakala Wetu Wawe Makini Sana Ndani Ya Chumba Cha Kura Yaani Wawe Wazalendo Wenye Msimamo Wasiokuwa Na Tamaa
2. Tujihadhari Na Mbinu Chafu Za Police Wanaotumiwa Na Chama Tawala...
Salam Zenu!! Wakuu
Ndugu Mi Nataka Kumuuliza Mgombea Huyu Wa Ubunge Kupitia CCM Leprofesar Maghembe Kuwa Ni Kazi Gani Anataka Kuwapa Vijana Hawa.
Mgombea Huyu Amekusanya Vijana 120 Wa Jimboni Humu Na Kuwaweka Katika Kambi Akichanganya Jinsia Na Kuwapa Jina La Wanajesh
Sasa Namuuliza...
Wakuu
Kuna Kama Kuna Jambo Ambalo Ni Muhimu Kusemwa Kwa Wakati Huu Basi Ni Kumlinda Mama Yetu Tanzania
Nilitegemea Kuwasikia Viongozi Waandamizi Serikalini Na Vyamani Wakisema Tumlindeni Huyu Mama Mana Akitetereka Sote Hali Zetu Zitakuwa Tete
Tushindane Kwa Amani Na Usawa Atakayeshinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.