Habari wa kuu,kuna mdada mwaminifu na mchapa kazi anatafuta kazi ya kuuza duka la madawa hapa Dar es salaam.
Taalauma yake ni Nesi ila amekuwa akifanya kazi ktk maduka ya madawa kwa muda sasa.Kama unahitaji nicheki nikuunganishe nae!!!
Ahsante
Aisee, ule wimbo wa Mwana FA BADO NIPONIPO kuna verse inasema "alilala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi.
Ninaishi Moro mijini. Natoka zangu kwenda mihangaikoni ghafla nakutana binti njiani,kajihifadhi vizuri kimavazi. Nikamtongoza akakubali na kunipa namba fasta.
Siku ya pili...
Wadau habari zenu,
Nimepata frem mahali kwaajili ya kufungua Biashara, kuna Jamaa anahama.
Sasa kuna mdada anaeishi hapa kwenye hii nyumba kanambia kuwa hii nyumba haina Riziki/haina baraka ya pesa. Watu wanaoishi hapo wengi hawana maendeleo. Hivyo nisipoteze Pesa zangu bure.
Sasa hii...
Habari wakuu,
Natafuta saluni ya kiume ya kununua hapa Dar es salaam.Au kama kuna mtu mwenye frem inayofaa kwa biashara ya saloon anijuze.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Habari Wakuu,
Nakusudia kununua ka gari ili nianze biashara ya kutoa huduma ya usafiri(uber,bolt nk)
Je nikiwa na driving license class D nitaweza kukubalika au ni mpk niwe na class C3 kama nilivyoambiwa?
Je kazi ipoje kwa hapa dar es salaam?
Naomba ushauri toka kwa wenye uzoefu na kazi hii...
Habari wakuu,
Bila kupoteza muda ni hivi, tangu mwaka jana mwezi wakwanza hatujui ni wapi mdogo wetu alipo.
Alikuwa katavi migodini kama mlinzi wa mgodi wa mtu binafsi kwa muda wa miaka miwili. Bado hatujapata taarifa rasmi kuhusu kupotea kwake lakini kwa mujibu wa tetesi nikwamba. Wapo baadhi...
Habar wakuu...
Naishi south Africa nikiwa na tatizo la macho kwa kutokuona mbali.
Juzi nimeenda hospital nimepewa miwani ambayo inanisaidia sana .Lakini changamoto za hii miwani ni kama itanifanya niweze kuona mpaka niivae.
Je nitumie matunda gani ili nikabiliane na tatzo hili?Naomba msaada wenu.
Habari wakuu,
Leo nimejikuta nakumbuka tabia moja mbaya ya sisi wazawa wa Kigoma dah!!
Nadhani kila mzawa wa Kigoma atakuwa ameipitia hii tabia ambayo kama hajaifanya basi atakuwa kafanyiwa[emoji23][emoji23].
Tabia yenyewe ni yakupenda kuwabatiza watu majina kulingana na madhaifu au ulemavu...
Habari wakuu,
Kwa Mara nyingine tena narudi kwenu wana Jf.Nadhan bila kupiteza muda ukipitia post zangu utakuta moja kati ya post hizo nilipost miaka miwili iliyopita,ikiwa na lengo LA kuomba msaada kuhusu safari yangu toka Tz to SA. Shukran sanaKwa msaada wenu.
Nasasa narudi tena kwenu kuomba...
Sasa kama kweli Dada zetu mmefikia kiwango hiki cha kutamani kuolewa,sasa kwanini mkiolewa mnajisahau na mbashindwa kuwa na subra na uvumilivu ktk ndoa?
Nyie mlio ktk ndoa mbona mmejisahau lakini? Hebu oneni wenzenu wanavyokimbilia wanaume huku
Assalaam ndugu zangu wana Jf,
Natumai baadhi yenu mko salama kabisa,na wale wenye maswahibu mbalimbali Mungu awafanyie wepesi Inshaa Allah.
Kwanza kabisa nitoe shukran zangu za dhati kwenu kwa michango ya mawazo mlionipa ktk nyuzi zangu zote zilizohusu safari yangu ya kuja huku SA Capetown...
Wakuu habari,
Nimeshafika hapa cape town kwa Mara yakwanza.Yafuatayo ndio niliyoyakuta hapa
Hali ya hewa ni nzuri msimu huu wa summer.
Wenyeji wa eneo nililofikia wengi ni warangirangi
Tofauti na miji mingine hapa SA,cape town hakuna usumbufu wa polisi kukamata wahamiaji wasio na vibali vya...
Habari zenu wakuu,
Mwisho wa mwezi huu naelekea SA,hivyo naomba kujua yafuatayo;
Nauli from TZ to Harare kwasasa.
Nauli from Harare to Capetown kwasasa.
Pia ningeomba kujuzwa changamoto za njiani na ninazikabili vip.
Passport ipo
Yellow fever card in the process.
Ahsanteni wakuu.
Habar wakuu,
Bila dalali kuhusika,inahitajika nyumba yenye sifa zifuatazo
Vyumba vinne(master)
Full tiles
Maji ya uhakika
Parking nk.
Iwe maeneo ya Tabata kimanga,kisukuru,external,tabata chang'ombe na maeneo mengine ya karibu na hayo yatafikiriwa
Note;Dalali hahitajiki.
Habar;
Ninaandika kwa uchungu sana aisee!Muda huu nipo hapa uhamiaji nafuatilia suala la passport
Nimezingatia masharti yote yalioidhinishwa kama vigezo vyakupata passport Ikiwa ni pamoja na
Kitambulisho cha taifa
Cheti changu cha kuzaliwa
Affidavit
Barua serikali ya mtaa
Barua ya maombi...
Kaka mdogo wa mwanadada machachari katika mtandao wa Instagram, Bi. Mange Kimambi ameonekana akiwa ofisini kwa RC Makonda wakiwa na furaha kupitiliza.
Hii ni siku chache tu baada ya mwanadada huyo kutoa povu la kleesoft baada ya mdogo wake kuonekana na RC huyo ambaye ni hasimu wake mkuu...
Habar wakuu,
Hivi nilazima mpaka uwe na safari ya nchi za nje ndo upewe passport? Maana ktk fomu ya maombi kuna kipengele namba 3 kinauliza
-DHUMUNI LA SAFARI
-NCHI UNAYOTAKA KWENDA
Je kuna ulazima wakujaza kipengele hiki?
Nakama kuna ulazima inamaana mwananchi haruhusiwi au hana haki ya...
Habari wakuu
Nina mdogo wangu ambae ni nguli ktk mchezo wa karate,kiufupi dogo yupo vzr tu.
Amekuwa mwalimu wa watu wengi mkoani mwanza mpaka baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakimfuata awafundishe mchezo huu.
Kwasasa yupo dar na anataka atumie kipaji chake kujiingizia kipato halali,je nifanyeje...
Wakuu habari,
Kila nikifungua play store,Facebook, email,Browser nk,naandikiwa Maneno hayo.
Nimesha restore sim Mara kadhaa lakini tatzo bado lipo pale pale.
Msaada wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.