BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,682
- 3,406
Habar wakuu...
Naishi south Africa nikiwa na tatizo la macho kwa kutokuona mbali.
Juzi nimeenda hospital nimepewa miwani ambayo inanisaidia sana .Lakini changamoto za hii miwani ni kama itanifanya niweze kuona mpaka niivae.
Je nitumie matunda gani ili nikabiliane na tatzo hili?Naomba msaada wenu.
Naishi south Africa nikiwa na tatizo la macho kwa kutokuona mbali.
Juzi nimeenda hospital nimepewa miwani ambayo inanisaidia sana .Lakini changamoto za hii miwani ni kama itanifanya niweze kuona mpaka niivae.
Je nitumie matunda gani ili nikabiliane na tatzo hili?Naomba msaada wenu.