Search results

  1. Genekai

    Nataka kuukana uraia wa Tanzania kuchukua wa Norway, ni madhara yapi ntayapata?

    Kwa hali ilivyo, we ukane tu wa tz. Norway nadhani km si nchi ya kwanza basi ni ya pili kwa kiwa na raia wenye furaha duniani. Wakati Tz ni nchi ya tatu kutoka mwisho!!!!!
  2. Genekai

    MOSHI : Polisi Line wanaishi gizani kwa kukosa umeme mwezi mzima sasa kwa deni la 1 Bilion

    Hawa jamaa miaka yote hawalipi bill ya umeme..... Wanalo!!!!
  3. Genekai

    WAKATOLIKI: Je, unamuamini vipi padri unayekwenda kuungama/kutubu dhambi mbele yake?

    Mambo mengine hasa ya imani huhitaji kuhoji.... Ukitaka nenda usipotaka acha..... Wala usimlaumu anayekwenda!!!!
  4. Genekai

    Kwanini Watu wanaoendesha magari binafsi wanapenda kuwachungulia walio kwenye daladala?

    Hii thread imenifanya nicheke asubuhi mapema!!!
  5. Genekai

    Mdogo wangu kaniandikia barua nzito, adai nihame nyumbani nikajipangie maisha yangu

    Nilishasema, hili ni tatizo la elimu yetu, inamuandaa mtu kuajiriwa badala ya kinyume chake. Una BA bado unasubiri ajira, wakati mwingine huwa naona elimu ya la saba iko vizuri kwani waliojiajiri ni wengi. Dogo kakuchoka kaona akupe makavu. Tafuta namna ya kuhama bro!!!!
  6. Genekai

    Ni Spika gani wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania ameitendea haki nafasi ya uspika?

    Labda Karijee........ Hawa wengine uchama tu!
  7. Genekai

    Je, nyama ya nguruwe (mkuu wa meza) ni najisi?

    Ukimuonja K'moto na kuujua utamu wake, huwezi kumuita haramu!!!
  8. Genekai

    Kiboko ya Dr.Bashiru ni wakili msomi Fatma a.k.a Shangazi

    Hawa wanasiasa ni wa kuonea huruma tu!!!
  9. Genekai

    Kwanini CCM inaendelea kushinda chaguzi, licha ya kuwa ndio chanzo cha umasikini wa taifa letu, rushwa na ufisadi?!

    Simpo tu.... Wekeni tume huru ya uchaguzi na mkuu wa Polisi wa wilaya asiamrishwe na mwenyekiti wa MCC wa wilaya then tuone itakuwaje!!!!!
  10. Genekai

    MARA: Kangi Lugola ametoa wiki moja kwa Polisi kuwakamata wanafunzi watoro na wazazi wao

    Hiyo nayo ni kazi ya Polisi? Nowonder haya maagizo yanapuuzwa
  11. Genekai

    CHADEMA yawapitisha wagombea Ubunge wa Korogwe Vijijini, Ukonga na Monduli

    Hawajakaa kama UKAWA wakateua wagombea?
  12. Genekai

    Nini kimemsibu Rais wetu hadi kubadili yale aliyoahidi kupambana nayo Mwaka 2015 wakati wa Kampeni

    Niliwahi kuwaambia hapa kuwa, bila kuuondoa mfumo mzima wa MCC mtakuwa mnapiga ngoma ndani ya maji. Hata akishushwa malaika toka mbinguni, kwenye mfumo huu ataharibu tu!
  13. Genekai

    Mahakama ya mafisadi, na msemo wa mchimba kisima huingia mwenyewe.

    Bado naisubiri Tanzania ya viwanda!!!
  14. Genekai

    Serikali: Kila mtanzania atapaswa kumiliki laini moja ya simu, ukitaka ya pili unaomba TCRA

    Nchi hii kila uchao inazidi kuwa ngumu kuishi
  15. Genekai

    Serikali, Makinikia bado yapo Bandarini au yameondolewa kimya kimya?

    We unaulizia Makinikia, me nalilia zile 345Tr!!!
Back
Top Bottom