Nami naunga mkono hoja ya kupunguza wabunge. La kwanza kabisa waondoe viti maalum. Pili wapunguze majimboNaunga Mkono Hoja ya kupunguza majimbo, maana kwasasa Bunge halina meno na halina kazi chini ya JIWE.
sawa tu.nibora kupunguza
GPA ya 32 SUA Dodoma, hesabu zako ngumu.View attachment 842818
Panga la mabadiliko katika Majimbo ya Uchaguzi, linaweza kuyakumba Majimbo ya Uchaguzi nchini yapatayo 264 endapo Mapendekezo yanayotolewa na wadau, yatakubaliwa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Kulingana na taarifa zilizoandikwa na Jamhuri, kuna Mapendekezo kuwa, Majimbo ya Uchaguzi yaendane na Halmashauri zilizopo Tanzania Bara ambazo ni 186 (plus 16 wa kuteuliwa). Vilevile, nafasi ya viti maalum inapendekezwa kuwa asilimia 35% ambazo zitakuwa sawa na Viti 69. Hivyo, Bunge litakuwa na Wabunge 271 badala ya 264 na hivyo tofauti kuwa 122.
Mishahara, posho, marupurupu na kiiinua mgongo cha Wabunge hao 122, kwa kipindi cha miaka mitano, ni sawa na Tsh. bilioni 122.
View attachment 842814View attachment 842822
Good idea. Nchi nyingi idadi ya wabunge iko constant. Lakini TZ kila kipindi cha uchaguzi majimbo yanaongezeka for NO REASON.Mara nyingi huwa ni kwaajili ya kulinda masilahi wa watu fulani. Itafika kipindi itabidi wajenge ukumbi mpya wa bunge au pengine mikutano ya bunge kufanyika uwanja wa Jamhuri kutokana na uwingi wa wabunge. Nonsense. Idadi ya wabunge LAZIMA ITHIBITIWE NA IWE CONSTANT KULINGANA NA WILAYA HUSIKA. WILAYA MOJA MBUNGE MMOJA. IT IS ENOUGH.Nami naunga mkono hoja ya kupunguza wabunge. La kwanza kabisa waondoe viti maalum. Pili wapunguze majimbo
Sioni wapi kwenye hiyo taarifa mapendekezo hayo yametolewa na wadau. Haya nielewavyo hiyo taarifa ya Jamhuri ni mapendekezo yanayo toka na yanafanyiwa kazi na serikali. Nafikiri ni muhimu tukajua hao wadau ni wepi au mkuu una source nyingine?Panga la mabadiliko katika Majimbo ya Uchaguzi, linaweza kuyakumba Majimbo ya Uchaguzi nchini yapatayo 264 endapo Mapendekezo yanayotolewa na wadau, yatakubaliwa na Tume ya Uchaguzi (NEC).
Kama una uchungu kwanini usipendekeze tufute wakuu wa wilaya type ya jery muro na jokate hawana faida yoyote no hasara tu.Watanganyika kila kitu tunaingiza siasa na uchama. Sasa hivi kuna wabunge kama utitiri na hawana maslah yoyote kuwepo kwao bungen. Mfano dar tu kuna wabunge zaid ya saba wote hao wa nn? Na kwa mwez kila mmoja anapata hela zaid ya dc,DAS na mkurugenzi kwa pamoja. Hii itapunguza sana gharama za uendeshaji wa serikali na kufanya kupatikana wabunge bora na sio bora mbunge