Hahaha waenda kwa miguu tuko wachache humu JF
Tupo ki kazi zaidi
HahahaMnatupa wakt mgumu tulio kwenye madaladala na wake zetu tunaonekana si lolote si chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
HujamboHahahaa. Lol.
Acha upuuziHuku jukwaani kwa vile G anasoma tufanye G atakununulia.
Njoo pm tupange unipe mautamu mtoto cheupe afu mtoto wewe nakupa kasava kavu kavu sitaki cha dume wala durex na natupiamo humo humo.
Nakucheki pm sasa hivi . Si bado upo mwanza?
Mkuu mimi gari sina ila mara nyingi nikiazima ndio tabia yangu hiyo. Halafu kuhusu kupata wakati mgumu nadhani hiyo inakua hofu yako tu. Kama mkeo anaielewa hali yako ya nyumbani huna haja ya kuhofu kabisa.Mnatupa wakt mgumu tulio kwenye madaladala na wake zetu tunaonekana si lolote si chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya nimeacha.
Marahaba.Sijambo. Shikamoo Ivuga.
Tena aliyekaa kiti cha abiria ndo anachungulia na kushangaa zaidi, tena ukute siku hiyo kapewa lift! Nafikiri mtu anakuwa anashangaa kuwa duh kumbe hata mimi nilikuwa/uwa napata suluba vile
Sent using Jamii Forums mobile app
una nini wewwwNapendaga tu kuangalia wanaoendesha magari mazuri. Sasa kuna siku kimbelembele changu hiki wakati navuka barabara kukawa na Prado kali nikaisimamisha nivuke. Ile kumuangalia driver nusu nianguke barabarani. Alikua kavaa ninja na katia kinyago kwa juu. Nilihisi nimekutana na jambazi. Ila hiyo tabia sijaacha. Nikiona vigari vya kawaida wala siangalii ila haya mazuri naangalia tu nasema one day yes
Sent using Jamii Forums mobile app
ipakie abiria ama isipakie, haiondoi ukweli kuwa daladala ni gari binafsi!Ni gari binafs kwa anayelimiliki endapo hatapakia abiria siku hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
yan utafikir kuna mwizi wake aliekua anamtafta sana kamuona humo kwenye daladalaTena aliyekaa kiti cha abiria ndo anachungulia na kushangaa zaidi, tena ukute siku hiyo kapewa lift! Nafikiri mtu anakuwa anashangaa kuwa duh kumbe hata mimi nilikuwa/uwa napata suluba vile
Sent using Jamii Forums mobile app
yan utafikir kuna mwizi wake aliekua anamtafta sana kamuona humo kwenye daladala
Sent using Jamii Forums mobile app
Li-V8 limekushinda nini mkuu?Ila kwa sasa hali ni mbaya sana, yani mimi gari langu natumia kwenda ofisin mara mbili tu kwa mwezi, siku nyingine zote niko kwenye kupangwa mistari miwili na kaka kondakta
Mwenye uhitaji aje nimuuzie hili gari aisee
Hii inatokea pale anapogundua we unamchunguliaKwanini Watu wanaoendesha magari binafsi au wanapenda kuwachungulia kwa kuwashangaa walio kwenye daladala?
Unakuta barabarani dreva anaacha kuangalia mbele badala yake anachungulia kwenye daladala
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kasura ka kwako my dear... Nitaweza hata kusababisha ajaliNa kuangalia wanawake nje hasa aone tutako kwa nyuma au aone una kasura ka kueleweka kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app