General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,023
Uzuri wa kuitwa mtanzania ni upi!?Hakuna kitu kizuri kama kuitwa mtanzania ,nakusihi usiukane katu, haya ya Magufuli yanapita lakin Tanzania ipo milele,
Sent using Jamii Forums mobile app