Rungu la mabadiliko laja kufyeka Majimbo ya Uchaguzi 84 na nafasi za Viti Maalum 44: Serikali kuokoa Tsh. 122,000,000,000.

Kwa nini uone kwamba ni njia ya kuua upinzani na si kukata matumizi ambayo si ya lazima?

Katika hili naiunga mkono serikali kwa asilimia zote. Kama hoja ni kupeleka madaraka na uwakilishi mkubwa wa wananchi katika usimamizi wa rasimali na matatizo yao, basi ni bora uongezwaji wa Wilaya na sio utitizi wa majimbo!

Isipokuwa kwamba katika mfumo huo mpya ambao Wilaya zitageuzwa kuwa eneo jimbo, basi ni vema Ofis ya Mbunge itanuliwe kutoa nafasi ya kuwa shirikishi zaidi kwa kuongeza watumishi ofini hapo.
Kwa sababu kama hizi hizi za kipuuzi bunge lilizimwa live Tbc lakiñi kucha kuvhwa.liko live huko vichochoroni anakoshinda jiwe.

Kwa sababu hizi hizi za kipuuzi watu walinyimwa fursa ya kutibiwa nje lakini serikali hii hii ya hovyo imevunja recodi kwa gharama kubwa na deni la matibabu ndani ya kipindi cha mwaka mmoja tu kwa zaisi ya bilioni 17 karibu kasi ya mara tatu au mara nne ya awamu zote zilizopita.

Ndani ya sababu hizihzi za kipuuzi ndipo tunashuhudia ujenzi wa majengo chini ya kiwango kama hostel ya Udsm. Ndio kipindi hikihiki pesa zaidi ya trilioni 1.5 zimeibwa na hazijulikani zilipo.

Ni kipindi hiki cha fikra mbovu ambapo tunashuhudia uchaguzi kila siku kuanzia 2015 hadi 2018.

Hapo tusiongelee ununuzi wa wana siasa na uendeshaji wa vikundi vya kihuni na ufadhili wake( wasiojulikana wanaojulikana).
 
huko zenji je?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa haki, zenji ilitakiwa iwe na wabunge 5 kwenye bunge la muungano. Kama itawapendeza kwenye baraza lao kuwa na wawakilishi 200, fine.
Kupunguza uwakilishi wa wananchi kyk seikali ni kupunguza mamlaka ya wananchi ktk serikali yao.

Lakni hii ni mwendelezo wa mamlaka ileilw itokayo kwa ibilisi.
Mbunge wa jimbo anawakilisha wananchi wote wa jimbo lake. Hawa wa viti maalum wanamuwakilisha nani?!
 
Mimi ninaona ni heri kila mkoa ungekuwa jimbo. Hii ingesaidia kuwa na wabunge wasiofika hata 50 na hivyo kutuokolea gharaa zisizo na ulazima. Kama ni kusema ndioooo, hata hao wachache wataweza tu.
 
Mimi ninaona ni heri kila mkoa ungekuwa jimbo. Hii ingesaidia kuwa na wabunge wasiofika hata 50 na hivyo kutuokolea gharaa zisizo na ulazima. Kama ni kusema ndioooo, hata hao wachache wataweza tu.
Kwa misingi hii nakubaliana na wew maana hata wingi wao hauna maana yoyote. Hata bunge likifutwa ni sawa tu maana hata sasa bunge halipo kuna kivuli tu.
 
View attachment 842818

Panga la mabadiliko katika Majimbo ya Uchaguzi, linaweza kuyakumba Majimbo ya Uchaguzi nchini yapatayo 264 endapo Mapendekezo yanayotolewa na wadau, yatakubaliwa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Kulingana na taarifa zilizoandikwa na Jamhuri, kuna Mapendekezo kuwa, Majimbo ya Uchaguzi yaendane na Halmashauri zilizopo Tanzania Bara ambazo ni 186 (plus 16 wa kuteuliwa). Vilevile, nafasi ya viti maalum inapendekezwa kuwa asilimia 35% ambazo zitakuwa sawa na Viti 69. Hivyo, Bunge litakuwa na Wabunge 271 badala ya 393 na hivyo tofauti kuwa 122.

Mishahara, posho, marupurupu na kiiinua mgongo cha Wabunge hao 122, kwa kipindi cha miaka mitano, ni sawa na Tsh. bilioni 122.

View attachment 842814
View attachment 842822
Bora! Tunabebeshana mzigo mzito kulea vitambi vya watu bure! Ila opposition wajipange hapa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 842818

Panga la mabadiliko katika Majimbo ya Uchaguzi, linaweza kuyakumba Majimbo ya Uchaguzi nchini yapatayo 264 endapo Mapendekezo yanayotolewa na wadau, yatakubaliwa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Kulingana na taarifa zilizoandikwa na Jamhuri, kuna Mapendekezo kuwa, Majimbo ya Uchaguzi yaendane na Halmashauri zilizopo Tanzania Bara ambazo ni 186 (plus 16 wa kuteuliwa). Vilevile, nafasi ya viti maalum inapendekezwa kuwa asilimia 35% ambazo zitakuwa sawa na Viti 69. Hivyo, Bunge litakuwa na Wabunge 271 badala ya 393 na hivyo tofauti kuwa 122.

Mishahara, posho, marupurupu na kiiinua mgongo cha Wabunge hao 122, kwa kipindi cha miaka mitano, ni sawa na Tsh. bilioni 122.

View attachment 842814
View attachment 842822
Hivi kuna haja ya kuwa na Mbunge kweli wakati tuna DED?Ni wazo tu lakini.
 
Hawaoni kuwa gharama wanayotumia kununua wapinzani ni hatari zaidi kuliko gharama ya kuhudumia majimbo?kwa kuwa gharama zinazokwenda kwenye majimbo zinawafaidisha wananchi moja kwa moja.
Hii nchi imeshakuwa kama mradi wa watu
 
Kwa kweli kama jambo hili litatekelezwa, napongeza sana. Wabunge ni wengi mno na hakuna jambo la maana wanalofanya.
 
O
View attachment 842818

Panga la mabadiliko katika Majimbo ya Uchaguzi, linaweza kuyakumba Majimbo ya Uchaguzi nchini yapatayo 264 endapo Mapendekezo yanayotolewa na wadau, yatakubaliwa na Tume ya Uchaguzi (NEC).

Kulingana na taarifa zilizoandikwa na Jamhuri, kuna Mapendekezo kuwa, Majimbo ya Uchaguzi yaendane na Halmashauri zilizopo Tanzania Bara ambazo ni 186 (plus 16 wa kuteuliwa). Vilevile, nafasi ya viti maalum inapendekezwa kuwa asilimia 35% ambazo zitakuwa sawa na Viti 69. Hivyo, Bunge litakuwa na Wabunge 271 badala ya 393 na hivyo tofauti kuwa 122.

Mishahara, posho, marupurupu na kiiinua mgongo cha Wabunge hao 122, kwa kipindi cha miaka mitano, ni sawa na Tsh. bilioni 122.

View attachment 842814
View attachment 842822 Kwanini wasifute vyeo vya kipuuzi kama mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya ambao hawana kazi maalim
 
Back
Top Bottom