muzi
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 1,038
- 1,448
Yes! Hii ndio point ....asiondoke kwa ajili ya kumfurahisha dogo ataumia!!!Anza mikakati ya kuhama, tengeneza mazingira ya kujitegemea, usikurupuke kuhama kisa dogo kasema. Tafuta cha kukupatia pesa ili ukitoka usije ukarudi kudoea ugali.