Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,911
Kibaya zaidi waziri asiyehusika na Elimu na analenga eneo moja tu la nchi( au kwa vile kwao?) Mtwara je, nkasi je ? Utoro umehalalishwa?Mkuu tunakosa sera ya kitaifa....kama ma swala ya elimu yanaanza kusimamiwa na police, jua kuna tatizo mahara