SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
..i am 80% sure kwamba vikao vya bunge lililojadili mswada wa kuundwa kwa serekali ya Tanganyika viliongozwa na Pius Msekwa.
..20% nakuachia kwamba nimekosea, and I challenge you kutuletea rekodi za Hansard.
KAma ni vikao vya bunge hata Jenister Mhagama, Nzungu au Tulia Ackson wamewahi kuongoza vikao vya bunge.