Habari wakuu, rafiki yangu anauza hii WiFi Router kwa laki mbili (TZS 200,000) kwa yoyote atakayekuwa na nia wasiliana nami. Iko sim unlocked na ina admin web filtering na feature nyingine nyingi tu.
Habari wakuu, rafiki yangu anauza hii Desktop PC (CPU+Monitor+Keyboard+Mouse+Cables) kwa laki sita (TZS 600,000) kwa yoyote atakayekuwa na nia wasiliana nami. Ina Movies, Series na Software za kutosha.
Habari wakuu,
Nina router ya zamani ya ZTE ZXV10 W300 nataka iwe ina assign IP address (as DHCP Server) kwenye connected devices/PCs. Kisha PC1 igawe internet kwenye device/PC nyingine. Nafanya hivi sababu port ya internet ya router ni RJ11 na mimi natumia 3g modem. Nimeweka senario hapo chini...
Habari wakuu, kuna hii network plan nataka kuitumia nyumbani ila nahitaji msaada wenu jinsi ya kufanya configurations
Vifaa nilivyonavyo
Router: zxv10 w300 (old router with RJ11 internet port)
Switch
Desktop PC with server 2012 (yenye network card mbili, DNS Server na Active director)
Laptop...
Habari wakuu,
Kwanza nifanye declaration kuwa mimi sina utaalamu sana kwenye mambo ya networking. Ninafungua ka ofisi kadogo ila nimetengeneza rough diagram lakini naomba ushauri kama ni kitu kinachowezekana.
Habari wakuu,
.Locky virus amekuwa famous mwaka huu na hadi sasa anasumbua dunia kwa ku encrypt documents na ana ambukiza kwa kupitia email.
Kuna mtu aliyepata solution, zaidi ya hunterspy4 AntiVirus
Habari wakuu,
Najaribu ku-share folder toka linux kwenda windows. Kwenye windows, folders zinaonekana ila hazifunguki. Zinasema you have no right permissions ila nimeweka permission zote. Natumia samba kushare.
Kama kuna mtu anayefahamu tupeane ujuzi
Habari wakuu, Nilikuwa sijatumia simu ya Samsung Galaxy core Plus SM-G350 (Base: G350XXU0ANG4) sijaitumia kwa muda niliiweka tu home. Siku mbili tatu zilizopita nataka kuitumia ikaanza matatizo.
Ikishawaka, baada ya sekunde kadhaa au dakika inazima yenyewe. Nikaamua kuifanyia factory reset...
Habari wakuu, naomba usaidizi kwa wale wenye uelewa wa tofauti ya vitu hivi viwili. Endapo mtu anataka kufungua kampuni je kuna tofauti kama jina la kampuni likiwa
XXX COMPANY LIMITED au XXX LIMITED ?
1. Punguza brightness kwenye simu
2. Zima WiFi / Bluetooth / Data pale unakuwa huitumii
3. Tumia vibration pale inapohitajika.
4. Tumia Airplane Mode ukiwa sehemu isiyo na network reception
5. Funga applications ambazo huzitumii.
Habari wakuu, nimeshuudia senario zaidi ya tano pale ombaomba anapokuja sehemu za starehe na kuanza kuomba wateja na wanahambulia zero.
Unakuta mtu hutambui nani ana shida ya ukweli na nani ni tapeli.
Mi nadhani serikali ingewapa vibali au kitu kama utambulisho, wangesaidiwa kirahisi sana.
Habari wakuu, nina laptop (HP Pavilion dv1000) ya ndugu yangu alifanyiwa installation ya windows7 na fundi.
Note: available drivers are only for windows 2000 na windows xp.
Fundi aka install ile software ya kuweka drivers automatic, ikafanya kazi kwa muda kisha blue screen ikawa inatokea mara...
Habari wakuu, BVR ni kifupisho cha Biometric Voting Registration system. wanatumia finger print kama key identifier kwenye profile ya kila raia.
Swali langu ni kwamba tuta VOTE kwa kutumia finger print au hizo kadi? Na kama tuta VOTE kwa kutumia kadi nini maana ya zoezi lote la BVR, sababu...
Habari wakuu, BVR ni kifupisho cha Biometric Voting Registration system. wanatumia finger print kama key identifier kwenye profile ya kila raia.
Swali langu ni kwamba tuta VOTE kwa kutumia finger print au hizo kadi? Na kama tuta VOTE kwa kutumia kadi nini maana ya zoezi lote la BVR, sababu hata...
Habari wakuu, Nilikuwa natengeneza graphics inayohusisha handwritting ambayo ningependa kutumia rangi inayoonekana real.
Kama kunamtu anajua CMYK code colors za peni ya blu au nyeusi naomba anisaidie
Habari wakuu, kwenye kitambulisho chako cha kura upande wa kulia kuna QR code na barcode chini yako ambazo zina unique signature itakayotumika kukutambua wakati wa kupiga kura.
Inasemekana kuna watu wanakopi hizo na ku duplicate cadi, kwa habari nilizozipata ameshakamatwa mtu anavyo 30
Tuwe...
Hapari wakuu, ninataka kufunga VIOP nyumbani kwa kutumia linux as my PBX server kwa kuwa sitatumia gharama nyingi.
Kama kuna mtu ana ufahamu zaidi wa VIOP setup ambayo ni cost effective tupeane mawazo
Kuna redio flani nilikuwa naisikiliza leo (21/03/2015) nikasikia mtangazaji anasema"Leo kuna mvuaa fulni amazing"
Mvua flani amazing ndio inanyeshaje?
Vijana tuache kuwa swaga za ajabu kwani tunapoongea na hizo swaga tunapoteza maana ya maneno napia tusichanganye lugha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.