Kupitia huu uzi nimejua kwanini watanzania wenye maendeleo ni wachache! Mindset zetu ni changamoto sana! Tuendee kuchangia kwenye ule uzi wa kulana kimasihara wakuu mambo ya fursa tuache sio fani zetu!
Ipo sema
Hapa nilipo hiyo fursa watu washaruka nayo maybe vijiji vya jirani! Duka la dawa muhimu vijijini hela ipo sana tu! Af kuhusu kulogana wanalogana wao kwa wao, mgeni hawana shughuli na wewe!
Hapa wanakaa wazigua na wamasai! Ma don ni wamasai ndo wanahitaji huduma za grocery n.k sema ndo hivyo watu wa huku biashara hawajui wanafungua then wakipata hela kidogo wanaanza kufungua ofisi saa 4!
Habari wakuu!
Ukiona fursa ni vyema kushare na wenzako. Kuna kijiji nipo katika wilaya ya Handeni kuna fursa kibao sana! Moja wapo ya biashara ya grocery. Kama una mtaji wa kufungua grocery tuwasiliane kuna hela yako nyingi sana katika hicho kijiji. Waliopo huku wengi ni wazawa hivyo biashara...
Habari nilikuwa naomba kuuliza wapi nitapata furniture kwa bei nafuu kidogo! Nimewapigia lifemate wameniambia bei yao inaanza 5m🤣🙌🏽.
Naombeni muongozo!
Huyu jamaa anajua sana! Na yuko relevant kila siku! Day after day anatoa mangoma na yanaenda bila kiki bila kelele zozote! Kwangu mimi anashika no mbili kwa wasanini ninaowakubali kibongo bongo!
Habari ndugu zangu
Moja kwa moja kwenye mada! Kuna nyumba bi mkubwa amejenga karibuni ila changamoto ni kwamba mkoa aliojenga una joto kali sana! Nilikuwa naomba kuuliza hivi nyumba ikishafanyiwa finishing inaweza kuwekewa feni ile ya juukwenye ceiling??? Au kuna kifaa gani kingine cha...
Habari zenu wakuu,
Kuna changamoto imekuwa inajitokeza nyumbani naomba mawazo yenu! Home kuna tank la litre 5000 ila limekuwa likiisha maji hata kama maji hayajatumiwa! Unakuta tank tunajaza mpaka juu lakini linaisha fasta bila hata matumizi!
Mvua zilinyesha kama siku 3 zimepita tank likajaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.