Maji kuisha kwenye tank bila kutumiwa

MEGATRONE

JF-Expert Member
Feb 22, 2014
966
1,809
Habari zenu wakuu,

Kuna changamoto imekuwa inajitokeza nyumbani naomba mawazo yenu! Home kuna tank la litre 5000 ila limekuwa likiisha maji hata kama maji hayajatumiwa! Unakuta tank tunajaza mpaka juu lakini linaisha fasta bila hata matumizi!

Mvua zilinyesha kama siku 3 zimepita tank likajaa full ila leo hamna maji kwenye tank! Kuna mtu kanambia kuna tatizo la valve kwahyo maji yatakuwa yamerudi idara ya maji! Nakaribisha maoni yenu!
Asante!

N.B: Nyumba inabakigi na mdada wa kazi peke( kwahyo matumizi ya maji ni madogo mno).
 
Angalieni kama kuna leak, funga koki inayopandisha na inayoshusha baada ya maji kujaa kisha angalia km yataisha
 
K
Habari zenu wakuu,
Kuna changamoto imekuwa inajitokeza nyumbani naomba mawazo yenu! Home kuna tank la litre 5000 ila limekuwa likiisha maji hata kama maji hayajatumiwa! Unakuta tank tunajaza mpaka juu lakini linaisha fasta bila hata matumizi! Mvua zilinyesha kama siku 3 zimepita tank likajaa full ila leo hamna maji kwenye tank! Kuna mtu kanambia kuna tatizo la valve kwahyo maji yatakuwa yamerudi idara ya maji! Nakaribisha maoni yenu!
Asante!
N.B: Nyumba inabakigi na mdada wa kazi peke( kwahyo matumizi ya maji ni madogo mno).
Kuhusu tatizo la maji kurudi, either unweke ile stop valve ambayo inaruhusu one way flow of water, au ukishajaza tank funga koki ya kwenye mita, case solved
 
Tatizo hili lilinitokea na kila fundi anachemsha kwa sababu hawana vifaa vya kupima wapi pipe imepasuka
Nikawaambia wafumua kila sehemu bila kujali gharama
Bingo wakapata panapovuja na kumaliza maji
Ni hatari sana kwani maji chini ni hatari
 
Mafundi bomba kuna vifaa wanafunga bhana, vinazuia maji yasirudi nyuma.
Kwa ujazo wa lita 5000 kama yanavuja yangeonekana tu.
Nikipata nafasi nitaweka picha (hapa hapa) ya hivyo vikoki vinavyozuia maji yasirudi nyuma.
NOTE; Kama utakipata, fundi ambae hajui hiki ni kifaa gani sio rahisi akakifunga kwa usahihi, atakua anajifunzia hapo!!
 
Maji hayawezi rudi Idara ya Maji kwa kuwa pipe ya kuingiza maji kwenye Tank lazima itakuwa iko juu ya Tank hivyo hayawezi rudi mpaka yaishe kwenye Tank. Nafikiri kutakuwa na leakage kwenye mabomba yanayotoa maji toka kwenye Tank
 
Funga kifaa kinaitwa non-return valve,nunua zile wanaita za kengele sio ya spring,bei kati ya 20k hadi 35k kutegemea na eneo ulipo
 

Attachments

  • images (7).jpeg
    images (7).jpeg
    27 KB · Views: 6
Hapo inatakiwa kuweka kifaa kinaitwa non-return valve. Kiwekwe kwenye mita ya maji au baada ya mita ya maji. Hiyo husaidia maji kwenda uelekeo mmoja

Sent from my MI 6X using JamiiForums mobile app
 
Mm pia nilikua na changamoto kama hii. Sema nilitatua kwa kifaa kama hiki. Tu
 
Tatizo hili lilinitokea na kila fundi anachemsha kwa sababu hawana vifaa vya kupima wapi pipe imepasuka
Nikawaambia wafumua kila sehemu bila kujali gharama
Bingo wakapata panapovuja na kumaliza maji
Ni hatari sana kwani maji chini ni hatari
Sio kila fundi anachemka ni wenda ume kutana na watu wasio waelevu katika mfumo ya maji

Maji kupotea Ina tegemea cha kwanza fund anatakiwa aelewe mfumo uliopo kwenye system yako ya maji

Ki kawaida kabisa pipe inayo Peleka maji kwenye tent (inlet) inakuwa tofaut na inayo toa (outlet) na hii inlet huwa inaingiza kwa juu hivyo haiwezi kurudisha maji kwenye mfumo wa dawasa!(kama mfumo ni wa kawaida) hapa tuna zungumzia kuusu tank na mfumo wake tuu

Kama mfumo sio wa kawaida yani katumia pipe moja kuingiza kwenye tank na kusaply maji ni lazima atunie non return valve kwenye pipe inayo leta ili yasirud yanapo toka.

Kwaiyo fund akija tuuu kwako atasoma kwanza fumo uliopo ndio Ata Anza kusoma au kutafuta upotevu una tokea wap?
Cha kwanza atakazimika kufunga valv zote zinazo ingiza maji ndan zen achek Tena kama maji yanapungua kama yanapungua manake maji hayapotelei ndani ni nje.


Hapo Tena Ana angalia pipe zilivyo pita kama Kuna access ya mfumo kurudisha maji wenye main pipe hii haitakiwa kuwepo labda kama makosa yamefanyika wakati wa kufanya installation. So kutoka hapo atakazimika kufatikia pipe hizo na Mala nying ni male connector ndio Zina letaga shida


Kuna nafundi alafu Kuna wabaushaj
 
Mafundi bomba kuna vifaa wanafunga bhana, vinazuia maji yasirudi nyuma.
Kwa ujazo wa lita 5000 kama yanavuja yangeonekana tu.
Nikipata nafasi nitaweka picha (hapa hapa) ya hivyo vikoki vinavyozuia maji yasirudi nyuma.
NOTE; Kama utakipata, fundi ambae hajui hiki ni kifaa gani sio rahisi akakifunga kwa usahihi, atakua anajifunzia hapo!!
Non return valves au reflux valve hii kazi yake ni kuruusu maji kwenye uelekeo mmoja tuuu yasi rud nyuma


Huwa Zina kufa Lakin so kama iliwekwa wenda ime kufa mana Kuna za spring na gate za spring zile spring huwa Zina zinguaga after time
 
Sio kila fundi anachemka ni wenda ume kutana na watu wasio waelevu katika mfumo ya maji

Maji kupotea Ina tegemea cha kwanza fund anatakiwa aelewe mfumo uliopo kwenye system yako ya maji

Ki kawaida kabisa pipe inayo Peleka maji kwenye tent (inlet) inakuwa tofaut na inayo toa (outlet) na hii inlet huwa inaingiza kwa juu hivyo haiwezi kurudisha maji kwenye mfumo wa dawasa!(kama mfumo ni wa kawaida) hapa tuna zungumzia kuusu tank na mfumo wake tuu

Kama mfumo sio wa kawaida yani katumia pipe moja kuingiza kwenye tank na kusaply maji ni lazima atunie non return valve kwenye pipe inayo leta ili yasirud yanapo toka.

Kwaiyo fund akija tuuu kwako atasoma kwanza fumo uliopo ndio Ata Anza kusoma au kutafuta upotevu una tokea wap?
Cha kwanza atakazimika kufunga valv zote zinazo ingiza maji ndan zen achek Tena kama maji yanapungua kama yanapungua manake maji hayapotelei ndani ni nje.


Hapo Tena Ana angalia pipe zilivyo pita kama Kuna access ya mfumo kurudisha maji wenye main pipe hii haitakiwa kuwepo labda kama makosa yamefanyika wakati wa kufanya installation. So kutoka hapo atakazimika kufatikia pipe hizo na Mala nying ni male connector ndio Zina letaga shida


Kuna nafundi alafu Kuna wabaushaj
Basi kwangu walikuwa makanjanja
Mafundi mpo wachache
 
Back
Top Bottom