Hii kali sana kweli ngozi nyeusi ni nyeusi tu..
Rafiki yangu aliepo MUHAS, katika story za hapa na pale akawa ananielezea kuwa licha ya JOTO la Dar hili lote madarasa wanayotumia kusomea na yenye WiFi huwa yanawashwa AC tu ikiwa hawa wanafunzi wageni wa SUDAN wakiwa wanafundishwa .. (ikumbukwe...
Wanafunzi wa Diploma, chuo cha Muhimbili-COHAS kilichopo Dar es Salaam kuzuiwa kufanya mitihani yao kisa bima za afya.
Kumekuwepo na malalamiko ya wanafunzi kulalamika kwa kile kinachoendelea katika chuo hicho ambacho kinatoa Elimu kwa ngazi ya diploma (MUCOHAS) huku walimu wakisema maelekezo...
Huo moyo wa kutoa taarifa utatoka wapi wakati wanajiona wao hawana kitu. Hawana mishahara... Tatizo linakuja hapo.. Ila kiukweli ngazi ya chini kabisa ya kijiji.. Ina umuhimu mkubwa sana kuzuia matukio na viashiria vya uharifu
Kwanza Huyo mtoto wako.. Hana maadili. Hatunzi siri za wagonjwa..
Pili mi nipo muhimbili hapa nashangaa sana kuona mwananchi wa kawaida anapotoa taarifa ambayo haijaichunguza wala kuuliza lengo LA kufanya hivyo... Anafanya hivyo ili kuzua taharuki..
Mkumbuke pia kwa wanaoangalia salio kwa ATM card ambazo zinauwezo wa kutoa pesa katika bank aina yeyote.. Mjue pia makato ni tofauti... Makato ya chini ukiwa una card ya CRDB lakini unatolea NBC gharama haipungui 5900/= hili suala hata wafanyakaZi wengi wa hizi bank. Hawajui kama makato pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.