Wajasiriamali nauliza soko la uhakika la samaki aina ya kambale au Catfish....Hivi kuna hotels ambazo wanatumia hawa samaki.? au naweza je kufanya value addition.?
Nataka kuanzisha shule ya Chekechea ambayo itakuwa darasa 1 la watoto wasiozidi 40! nahitaji kama shilingi ngapi kuanza hii project? na usajili ni lazima? process yake ikoje?
Huko Kenya wamepitisha mswada unaozuia mgawanyo sawa wa mali kati ya mwanaume na mwanamke inapotokea wameachana na kupeana talaka..je hii ni sawa wadau? Vipi kuhusu haki za mwanamke ambazo ni passive..yani hazionekani maana kama ni nyumba kajenga mwanaume mara nyingi wanawake tunaishia...
Huu ni utabiri wa T.B Joshua katika ibada ya jana 14TH July live kwenye emmanuel.tv. Kwa wale wanaoamini katika maono hali halisi ndio hiyo hapo chini..najua wapo watakaobisha na kutukana na kupuuzia..but pls just mark those words na ukae kimya ungoje hadi yatakapotokea uje ubishane. But i just...
habari zenu..
Nina agency ambayo nimekuwa nikifanyia kazi nyumbani for sometimes now..ila imeonekana ni vema nikawa na office. Hivyo naomba kufahamu kama kuna mtu anaweza kuwa na space ya kushare officin kwake? Tutakubaliana cost sharing. Nahitaji cchumba kimoja tu. Au naweza kupata chumba...
Helloz,
Nina agency ambayo nimekuwa nafanyia kazi nyumbani ( homebased) lakini umekuja umuhimu wa kuwa na office. Hivyo naomba mwenye office maeneo ya sinza mwenge, kijitonyama na survey tuwasiliane..tunaweza kushare cost?
For those who still aspire for scholarships in top businesses schools in the world..pls dont miss this chance. check the link and go for it. http://emmanuel.tv/mba.html Hii ni fursa ya ukweli kwa wale wanaoangalia Emmanuel tv mtakuwa mnajua kuwa T.B Joshua kaanzisha project ya kusaidia vijana...
Happy new year wapendwa. Its my first thread for this year after a long dissappearance. Hata hivyo nawamiss wote hapa JF na this time nimekuja kivingine............
So Valentine day is coming....umemuandalia mtu umpendae kitu chochote? Be it partner wako in ilove, mama/baba yako, kaka/dada yako...
Haya sasa...almost mwaka umepita tangu nilipojitokeza hadharani na kupinga Infidelity lakini nashangaa na kushindwa kuelewa kwa nini watu kama kina The boss, Asprin, Kaizer, Rejao, Teamo.........................bado wanaithamini na kuitetea pamoja na kutoa guides na rules kila kukicha.
Sasa kwa...
Nahitaji fremu kariakoo na mwenge kwa ajili ya kuuza vitu vya watoto kama vile nguo na accessories zote. Kwa Kariakoo sitaki duka zima bali nahitaji wao wanaitakizimba au 'goli". mwenge nahitaji fremu kubwa. Pia kwa kariakoo niko tayari kushare fremu kama ni kubwa. kama unayo au unajua namna...
Sijui ni mimi peke yangu ndo naliona hili au kuna wengi pia mmeligundua. Kuna ongezeko kubwa sana la domestic violence (kwa maana ya wanandoa na walio kwenye mahusiano)kwa vijana wa umri wa kati, wasomi, wenye kazi nzuri (professionals), Nasema hivi kutokana na experience ya watu wangu wa...
Habari zenu wakuu,
Kuna mtu wangu wa karibu alikuja kutoka nje, anahitaji kutoa sadaka kwa ajili ya msimu huu wa easter lakini asingependa kupeleka kanisani na badala yake anapenda kupeleka kwenye vituo vya kulelea yatima, any one with ideas ya wapi kituo kipo na infor za aina hiyo? thanks
Nahitaji sana kuelewa hili, mara nyingi humu utakuta topic nyingi zinahusu wanawake wa sehemu fulani sijui watamu, sijui wanajua mapenzi, sijui wanawe utakuta wanaume wanajitoa, wanachangia kweli experience zao na wanawake wa aina mbalimbali, wenye kutoa sifa haya, wenye kutoa dharau nao wapo...
Jamani kuna kazi nimeitwa kwenye interview lakini wanataka niwapelekee result za Psychometric Test, nimepokea email hii
...."Please note that we require for the position your latest Cognitive Ability Psychometric Test(CAPT) certified by an Independent Psychometric Invigilator
Should you not...
Najua wengi mtakuja na siasa za Oooh Valentine tunaiga, kwa nini niifanye siku siku hii special kushinda zingine, sijui mimi nampenda wife or hubby na kumtreat sawa kila siku, why today iwe special. Sasa kwa wenye masikio na wasikie, this is from a woman's heart.
Wanawake siku zote wako kama...
"I had food poisoning that was really bad. Just realized we bought eggchops on sunday from Royal Bakery at Kawe Road, a number of people were affected as well- 2died and 18 more hospitalized. The place is closed now for investigation I heard. Spread the news to your friends. "
This is frm a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.