carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Nahitaji fremu kariakoo na mwenge kwa ajili ya kuuza vitu vya watoto kama vile nguo na accessories zote. Kwa Kariakoo sitaki duka zima bali nahitaji wao wanaitakizimba au 'goli". mwenge nahitaji fremu kubwa. Pia kwa kariakoo niko tayari kushare fremu kama ni kubwa. kama unayo au unajua namna gani naweza kupata tafadhali changia.